Nataka kurudiana na X wangu baada ya miaka minane. Ushauri

Nataka kurudiana na X wangu baada ya miaka minane. Ushauri

M45

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
1,110
Reaction score
1,462
Habari za wakati huu wadau?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.
 
Habari za wakati huu wadau?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza,Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita,naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.
.....daaa miaka 8...umekumbuka nini yeye amekumbuka nini ? Nyote mna sumu sanaa.....mmoja awe mjinga la sivyo hakuna kituu
 
1000285438.jpg
 
Usikilize moyo wako kama bado unampenda kuliko maelezo na uko tayari kumvumilia kwa lolote,

Rusha taulo tu kubali yaishe, Mrudie.
 
Umri wenu tafadhali, na sababu ilopelekea kuachana awali. Je, mwanamke ana mtoto au bado?
 
Kwani mwanzoni mlitengana kisa nini.

Kama ni usaliti , hapo mtakuwa mnazingua.
Mwanzoni tulitengana kwa sababu niliachishwa kazi,nikakaa home kama mwezi,mambo yalivyokuwa magumu zaidi nikatafuta hela nikamwambia arudi nyumbani kwanza niendelee kupambana,mambo yakishakuwa sawa atarudi tena town,nikamwachia nauli ya kumfikisha nyumbani kwa wazazi wangu,baadae jioni nampigia simu nijuwe amefika wapi,hakuwa anapatikana,nikawapigia simu nyumbani kama amefika huko,wakasema hajafika,basi kesho yake ndiyo akaniandikia sms kwamba asingeweza kwenda nyumbani kumbe ile hela niliyompa alienda kupanga chumba mahali akakaa hapo.
 
Back
Top Bottom