rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Labda huyo ndio Mungu amempangia.Mkuu si utafute mwingine
Ama ni lazima awe huyo?
Penzi la kweli hata miaka 100 hamtasahauliana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda huyo ndio Mungu amempangia.Mkuu si utafute mwingine
Ama ni lazima awe huyo?
Sababu za kuachana ni nini?Habari za wakati huu wadau?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.
Karibuni.
Mbona ivo lakini 🤣🤣🤣Kuna kaharufu ka ujinga hapa
View attachment 3237466
Mwanzoni tulitengana kwa sababu niliachishwa kazi,nikakaa home kama mwezi,mambo yalivyokuwa magumu zaidi nikatafuta hela nikamwambia arudi nyumbani kwanza niendelee kupambana,mambo yakishakuwa sawa atarudi tena town,nikamwachia nauli ya kumfikisha nyumbani kwa wazazi wangu,baadae jioni nampigia simu nijuwe amefika wapi,hakuwa anapatikana,nikawapigia simu nyumbani kama amefika huko,wakasema hajafika,basi kesho yake ndiyo akaniandikia sms kwamba asingeweza kwenda nyumbani kumbe ile hela niliyompa alienda kupanga chumba mahali akakaa hapo.
Muache mtoto wa watu nikajua una lolote kumbe hamna kitu, huruma ya nini miaka nane yote hiyo kama kuna mwenye mapenzi ya kweli kati yenu angekuwa anaokota makopo kila mtu abakie aliko.NAmuonea huruma maana yeye ananipenda kuliko mimi navyompenda.
Sio kupanga chumba mkuu wewe c ndio ulimpa mtaji wa milioni mbili aende kununua mazao kumbe kapotea akaenda kuolewa hukoMwanzoni tulitengana kwa sababu niliachishwa kazi,nikakaa home kama mwezi,mambo yalivyokuwa magumu zaidi nikatafuta hela nikamwambia arudi nyumbani kwanza niendelee kupambana,mambo yakishakuwa sawa atarudi tena town,nikamwachia nauli ya kumfikisha nyumbani kwa wazazi wangu,baadae jioni nampigia simu nijuwe amefika wapi,hakuwa anapatikana,nikawapigia simu nyumbani kama amefika huko,wakasema hajafika,basi kesho yake ndiyo akaniandikia sms kwamba asingeweza kwenda nyumbani kumbe ile hela niliyompa alienda kupanga chumba mahali akakaa hapo.
Bro usikilize moyo wako achana na maneno ya watuNAmuonea huruma maana yeye ananipenda kuliko mimi navyompenda.