Nataka kurudiana na X wangu baada ya miaka minane. Ushauri

Nataka kurudiana na X wangu baada ya miaka minane. Ushauri

Siyo wewe wa kwanza!
Kuna mmoja wamerudiana na mtu wake baada ya miaka tisa,
Kilichowatenganisha ni shida za kiuchumi, kubwa zaidi mrudishe mwenzako muishi naye kama amezaa nje mvumilie tu inawezekana hakupenda kufanya hivo{kuzaa nje} na kama ana mtoto asiye wako usiitumie kama fimbo kumchapia..

Usisikilize mawazo ya vitoto vya 2005, lakn jitahidi sana kuwa mpole, futa mawazo mabaya kumhusu, na usimuulze kuhusu mahusiano yake wakat hamkuwa naye.

Broo we ni mwanaume, mrudishe mke wako muishi.

Msamehe yote kwa moyo wako wote, usiyakumbuke ya nyuma, kama mna wazazi wenu wapo hai washirikishe wawabariki {namanisha wazazi wa kuwazaa, siyo ndugu, siyo marafiki na siyo walezi: wazazi ndo viumbe pekee wenye uchungu na nyie, mzazi ndo hawezi kukusimanga, wengne wote watakuchanganya}

RUDIANA NA MKE WAKO NA USIMUITE EX, HAKIKA UTAYAONA MAFANIKIO MAKUBWA..WEWE NI MAN.

NA AKIRUDI ACHANA NA MISHANGAZI ULIYOKUWA NAYO
SALINI NA KUOMBA KWA IMANI YENU.

MUNGU WETU NI MWAMINIFU.
 
Mwanzoni tulitengana kwa sababu niliachishwa kazi,nikakaa home kama mwezi,mambo yalivyokuwa magumu zaidi nikatafuta hela nikamwambia arudi nyumbani kwanza niendelee kupambana,mambo yakishakuwa sawa atarudi tena town,nikamwachia nauli ya kumfikisha nyumbani kwa wazazi wangu,baadae jioni nampigia simu nijuwe amefika wapi,hakuwa anapatikana,nikawapigia simu nyumbani kama amefika huko,wakasema hajafika,basi kesho yake ndiyo akaniandikia sms kwamba asingeweza kwenda nyumbani kumbe ile hela niliyompa alienda kupanga chumba mahali akakaa hapo.
Yaani ile nauli akakaa tu,si ana bwana japo wewe labda humjui?
Ujinga sana haya mambo.
 
Habari za wakati huu wadau?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.
Why would you do that? 8 years is too far. Probably ana maisha mengine.
 
Habari za wakati huu wadau?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.


Kaa mbali sana, sumu hailambwi
 
Habari za wakati huu wadau?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.
Kama huyo X ni mwanamke kaa mbali naye..........hamna bahati mbaya linapokuja suala la mwanamke kukaa miaka yote hio bila wanaume wema kumuoa.......------Yes wapo masimp,kama wewe ambao hula matapishi yao,na makombo yaliochwa na alpha male
Just go mzee,utuwakilishe masimp
 
Mwanzoni tulitengana kwa sababu niliachishwa kazi,nikakaa home kama mwezi,mambo yalivyokuwa magumu zaidi nikatafuta hela nikamwambia arudi nyumbani kwanza niendelee kupambana,mambo yakishakuwa sawa atarudi tena town,nikamwachia nauli ya kumfikisha nyumbani kwa wazazi wangu,baadae jioni nampigia simu nijuwe amefika wapi,hakuwa anapatikana,nikawapigia simu nyumbani kama amefika huko,wakasema hajafika,basi kesho yake ndiyo akaniandikia sms kwamba asingeweza kwenda nyumbani kumbe ile hela niliyompa alienda kupanga chumba mahali akakaa hapo.
Nashauri umtongoze upya ufanye umepata demu mchumbiane, ulipe mahari na usahau kama ni X. Then muoane ikiwezekana.
 
Umekosa kabisa wanawake huko uliko?
Wanawake wapo sana,
Nashauri umtongoze upya ufanye umepata demu mchumbiane, ulipe mahari na usahau kama ni X. Then muoane ikiwezekana.
Nilitowa mahari wakati huwo ila sikumaliza baadhi ya vitu,upande wao wana hasira na mimi,wananiona kama tapeli wakati mtoto wao ndiyo hakuwa mvumilivu.
 
Habari za wakati huu wadau?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.

"Huko alikokuwa kajazwa sumu nyingi sana"

Nani alimjaza sumu?
 
Back
Top Bottom