Nataka kurudiana na X wangu baada ya miaka minane. Ushauri

Habari za wakati huu wadau?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.
Sababu za kuachana ni nini?
If he /she cheated on you never go back…..
 
Ungeweza kueleza sababu ya kuachana ungepata ushauri mujarabu mkuu
 

Samahani bro, niruhusu nikutukane, wewe ni limbukeni na mtu dhaifu sana hata kuwaza tu kumrudia!
 
NAmuonea huruma maana yeye ananipenda kuliko mimi navyompenda.
Muache mtoto wa watu nikajua una lolote kumbe hamna kitu, huruma ya nini miaka nane yote hiyo kama kuna mwenye mapenzi ya kweli kati yenu angekuwa anaokota makopo kila mtu abakie aliko.
 
Sio kupanga chumba mkuu wewe c ndio ulimpa mtaji wa milioni mbili aende kununua mazao kumbe kapotea akaenda kuolewa huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…