Nataka kusoma course ya Fine Arts and Design naomba ushauri

Nataka kusoma course ya Fine Arts and Design naomba ushauri

Vigo Mnyama

Member
Joined
Jun 7, 2021
Posts
27
Reaction score
23
Niko combination ya science nataka nikasomee Bachelor of fine art and design..
Ninakipaji cha kuchora.
 
Mimi ni mwanafunzi niko kidato cha sita combination ya CBG ila nina kipaji na niko interested sana na kuchora.

Lakini kuna mda nafikiria nimesoma comb ya science na ninataka kusomea art naona kama sitakuwa sahihi na kama nikimaliza na hii comb je ntapata hiyo course ya Fine art and design?

NNaombeni ushauri wenu🙏
Utakufa masikini,hiyo kozi hailipi bongo labda ulaya
 
Kasome Butimba ttc,wana diploma maalumu za masomo ya fani ambapo unaweza kusoma Diploma ya elimu sekondari inayojumuisha masomo ya fani na somo moja la kufundishia.
Ila kama hauna upendeleo na ualimu endelea kusubiri waje....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo course wanao isoma ni wale wenye malengo ya kuwa wasanii na vipaji wanavyo tofauti na hapo sikushauri , kuna jamaa ni home boy wangu tuliingia nae chuo mwaka mmoja pale udsm akapiga mpaka sasa anajuta tu anawaza kwenda veta apate ujuzi wa kumu weka mjini
 
Hiyo course wanao isoma ni wale wenye malengo ya kuwa wasanii na vipaji wanavyo tofauti na hapo sikushauri , kuna jamaa ni home boy wangu tuliingia nae chuo mwaka mmoja pale udsm akapiga mpaka sasa anajuta tu anawaza kwenda veta apate ujuzi wa kumu weka mjini
Homeboy wako alisomaje sasa wakati hana kipaji??
Kipaji ninacho ndo nawaza nisomee angarau niwe na cheti hata nikijiajili itakuwa rahisi mtu kukubali kazi yangu ninachora.
 
Kasome Butimba ttc,wana diploma maalumu za masomo ya fani ambapo unaweza kusoma Diploma ya elimu sekondari inayojumuisha masomo ya fani na somo moja la kufundishia.
Ila kama hauna upendeleo na ualimu endelea kusubiri waje....

Sent using Jamii Forums mobile app
Niko form 6 nataka nikachukie bachelor ya fine art in design sio diploma
 
Homeboy wako alisomaje sasa wakati hana kipaji??
Kipaji ninacho ndo nawaza nisomee angarau niwe na cheti hata nikijiajili itakuwa rahisi mtu kukubali kazi yangu ninachora.
Kazi Za Kuchora Zinahitaji Cheti..!
Bongo Nyoso[emoji28]
 
Kwakweli nimependa Msimamo wako Mkuu, Ila acha kutia hasara wazazi soma kwanza vitu vinavyoeleweka maliza Chuo course nzuri ksbisa kisha rudi ufanye sanaa yako tafuta kituo kizuri cha watu wanaofanya biashara ya Uchoraj fanya nao kazi watakufundisha kwa vitendo utaiva kuliko hata ukienda kuisotea chuo Na ukiwa na taaluma yako ya kueleweka hata sanaa yako itaonekana c ya njaa.
Lakini wacha kujiplania Kupata chet cha sanaa toka chuo kikuu.

Faida, utakapomaliza kusoma kwanza utakua na hope ya kuajiliwa au kujiajili katika issue uliyosomea lakini muda utakaokua ukisubir mtaani utautumia kujifunza sanaa na kupata jina mtaani ukiwa tayar una taaluma ya kueleweka.
 
Kwakweli nimependa Msimamo wako Mkuu, Ila acha kutia hasara wazazi soma kwanza vitu vinavyoeleweka maliza Chuo course nzuri ksbisa kisha rudi ufanye sanaa yako tafuta kituo kizuri cha watu wanaofanya biashara ya Uchoraj fanya nao kazi watakufundisha kwa vitendo utaiva kuliko hata ukienda kuisotea chuo Na ukiwa na taaluma yako ya kueleweka hata sanaa yako itaonekana c ya njaa.
Lakini wacha kujiplania Kupata chet cha sanaa toka chuo kikuu.

Faida, utakapomaliza kusoma kwanza utakua na hope ya kuajiliwa au kujiajili katika issue uliyosomea lakini muda utakaokua ukisubir mtaani utautumia kujifunza sanaa na kupata jina mtaani ukiwa tayar una taaluma ya kueleweka.
Nashukuru Sana kwa Ushauri Mungu akubariki pia.
🙏
 
Hawa akina tesla wangekua matajiri bila elimu? Vipi akina dangote bila kuwa na elimu au watu wenye elimu wangekua matajiri?
Matajiri wengi hawana Elimu kubwa.
Tesla ni mgunduzi elimu haijamfikisha hapo.
Huyu ni aina ya watu wenye vipawa vya kipekee.
Niambie ni chuo gani yanasomewa anayofanya Tesla?

Hata bongo wasio na elimu kubwa ndio wameajirivwasomi fikiri tena
 
Back
Top Bottom