Vigo Mnyama
Member
- Jun 7, 2021
- 27
- 23
- Thread starter
- #21
Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante
OA unazingua[emoji81][emoji81]anko aliisoma na mpaka leo analaumu hajui alisomea nini mana hana alijualo.... bahat alipata kazi ambayo elimu sio ishu.....
hawezi kuchora hata box[emoji1787]
Sio akasome udaktariKasome nursing then you will thank me later
Soma kitu chenye fursa,mbele itakusaidiaNiko combination ya science nataka nikasomee Bachelor of fine art and design..
Ninakipaji cha kuchora.
Na huu ndio ukwel, Tazama.Soma kitu chenye fursa,mbele itakusaidia
# watu wengine wanafuata fursa ila sio kitu wanachokipenda.
Endelea kujidanganya billionaires wengi ni wasomi wa Chuo kikuuMatajiri wengi hawana Elimu kubwa.
Tesla ni mgunduzi elimu haijamfikisha hapo.
Huyu ni aina ya watu wenye vipawa vya kipekee.
Niambie ni chuo gani yanasomewa anayofanya Tesla?
Hata bongo wasio na elimu kubwa ndio wameajirivwasomi fikiri tena
Asante kwa advice 🙏Soma kitu chenye fursa,mbele itakusaidia
# watu wengine wanafuata fursa ila sio kitu wanachokipenda.