Nataka kuteketeza 10 million means kuzichoma moto hizi pesa baada ya kugundua pesa hizo sio halali

Nataka kuteketeza 10 million means kuzichoma moto hizi pesa baada ya kugundua pesa hizo sio halali

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Pesa makaratasi... hii ndo maanake ☝️😁😁 ukichoma pesa serikali inakupa kesi. Pesa zangu afu serikali inanipangia matumizi ☝️ hata kuchoma pesa ni matumizi mbona nikipoteza pesa hainisaidii kutafuta hizo pesa.... Utumwa still bado upo. Any way ....
20230318_114114.jpg
 
Pesa makaratasi... hii ndo maanake ☝️😁😁 ukichoma pesa serikali inakupa kesi. Pesa zangu afu serikali inanipangia matumizi ☝️ hata kuchoma pesa ni matumizi mbona nikipoteza pesa hainisaidii kutafuta hizo pesa.... Utumwa still bado upo. Any way ....View attachment 2556231
Kijana kasome Social Contract

Halafu ungekuwa umekaa peke yako huko porini ukawa na mfumo wa uchumi ambao hauingiliani na binaadamu wengine maana yake kusimgekuwa na serikali na ungeweza choma sio pesa tu ungechoma hata makalio yako hakuna seriali ingekuingilia
 
Hemedy mdogo wangu ngoja nikupe ushauri

Endelea kukomaa na duka lako la nguo hapo vingunguti, hii michezo sio mizuri, unaweza kuokota picha mtandaoni ukaiposti siku ukifumwa mpaka ujieleze kua sio yako au umei Photoshop sijui pumbu zitakua zishakaangwa

Ni hayo tu
Nikamatwe kisa hiyo picha ya pesa. Hiyo sheria ya mungu au ? Hata sasa hivi waje. Siogopi kufa hata kwani kuna atakayestay hapa. Dunia waanze na mashoga
 
Nikamatwe kisa hiyo picha ya pesa. Hiyo sheria ya mungu au ? Hata sasa hivi waje. Siogopi kufa hata kwani kuna atakayestay hapa. Dunia waanze na mashoga
hawakuuwi, lakin watakupa kichapo heavy, wanakupasua marinda, wanakunyesha boolo na baadae DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi.
 
B.O.T unapewa mpya kabisa,, cha muhimu namba zile zilizolala ama kusimama ziwepo na watazirekodi kwamba noti zake hazipo tena kwenye mzunguko na utapewa mpya.

ni bure lakini ukiwakuta wazee wa vichwa wakihitaji kitu kidogo wewe wape tu
 
hawakuuwi, lakin watakupa kichapo heavy, wanakupasua marinda, wanakunyesha boolo na baadae DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi.
Wambie wajaribu wanitoe marinda me wakike kwani 😁😁 nachekaga tu
 
Back
Top Bottom