King Evance programmer
Member
- Jul 5, 2024
- 20
- 58
Hili wazo nikiwahi kuwa nalo kitambo sana. Ndiyo utahitaji idhini ya vilabu na wachezaji husika, hao wote inabidi wapate mgao wao labda kama waamue tu kukusapoti bila kukudai chochote. Ni wazo zuri ila lina mchakato mrefu kidogo ila kama una connection na/au uwezo wa kuwasilisha wazo lako kwa ufasaha, songa nalo mbele. Kila la kheri.Nimepata idea ya kutengeneza game la mpira ambalo litakuwa na leagues za tz tu na pia commentator atakuwa anaongea kiswahili na pia viwanja vitakuwa vya Tz.Je nauliza kama kuna sheria ambazo zitanibana kwa baadae maana ntatumia majina na sura za wachezaji halisi(original)
Zingatia hapa ndugu mwandishi.Hili wazo nikiwahi kuwa nalo kitambo sana. Ndiyo utahitaji idhini ya vilabu na wachezaji husika, hao wote inabidi wapate mgao wao labda kama waamue tu kukusapoti bila kukudai chochote. Ni wazo zuri ila lina mchakato mrefu kidogo ila kama una connection na/au uwezo wa kuwasilisha wazo lako kwa ufasaha, songa nalo mbele. Kila la kheri.
Amuite Mwasibu hapa Jf huenda akachangia chochote kitu na kumpigia mahesabu vizuri.Gharama za uwekezaji huu utaziweza?
maana sio suala la kuongea ongea tu kama Mwijaku
watu wanatumia mabilioni kadhaa kuwekeza hapa aisee msichukulie poa mishe za watuAmuite Mwasibu hapa Jf huenda akachangia chochote kitu na kumpigia mahesabu vizuri.
Picha ni za kuchora jivo hazina sheria yyt majina ya wachezaji hskuna mwenye hatimiliki ya jina lake we tengeneza tuHili wazo nikiwahi kuwa nalo kitambo sana. Ndiyo utahitaji idhini ya vilabu na wachezaji husika, hao wote inabidi wapate mgao wao labda kama waamue tu kukusapoti bila kukudai chochote. Ni wazo zuri ila lina mchakato mrefu kidogo ila kama una connection na/au uwezo wa kuwasilisha wazo lako kwa ufasaha, songa nalo mbele. Kila la kheri.
Aombe kibali TFF, Bodi ya ligi na image rights kwa wachezaji wa timu zote na watangazajiHili wazo nikiwahi kuwa nalo kitambo sana. Ndiyo utahitaji idhini ya vilabu na wachezaji husika, hao wote inabidi wapate mgao wao labda kama waamue tu kukusapoti bila kukudai chochote. Ni wazo zuri ila lina mchakato mrefu kidogo ila kama una connection na/au uwezo wa kuwasilisha wazo lako kwa ufasaha, songa nalo mbele. Kila la kheri.
Sheria ipo ,ya imagine rights tena kwa ulaya kuna kampuni kabisaPicha ni za kuchora jivo hazina sheria yyt majina ya wachezaji hskuna mwenye hatimiliki ya jina lake we tengeneza tu
Amn ki2 nachukia kama hayo majina mawili mm ni expertKila la kheri.
Wewe ni senior au jr?
Hilo ni lazima afanye, haliepukiki.Aombe kibali TFF, Bodi ya ligi na image rights kwa wachezaji wa timu zote na watangazaji