Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
- Thread starter
-
- #21
mfano tu,umenunua madela 20,000,
kwa bei ya kununulia tsh 10,000=
utatumia milioni 200,
utauza kwa 15000 kwa watu elfu 20,
utapata faida ya milion 100,
hapa yataka atleas utafute kitu utakachonunua kwa wholesale price ya tsh 5000 na uje kuuza kwa tsh 10,000,
Kwa Kiduku Lilo Tsh milioni 100 hata hela za kumtuma mboga Housegirl Paris hazijafika.Nilitaka kusema ni kiduku lilo amekuja na ID nyingine, lakini sentensi za mwisho zimenifungua unachofikiri.
Ngoja wajuzi zaidi waje.
Kila kitu kinawezekana.
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Kumbuka mtoa mada ameweka limit ya miezi sita (6)
Sio lazima atengezene hiyo 100M kwa mkupuo mmoja, anaweza kuwa ma mtaji mdogo akazungusha kwa juhudi kubwa bila kukata tamaa, within six month alizojiwekea kama deadline akawa amefanikisha lengo.
Fanya hizi biashara utatoka chap..
Uza dawa za kulevya.
Uza mali asili kama pembe za ndovu.
Uza binadamu.
Uza vipodozi vyenye mercury.
Lete mrejesho baada ya huo muda, utaikopesha tz.
Biashara halali utachukua mda mrefu, huo hautoshi.
Nb: Unatakiwa uwe na connection za maana SANA.
Mawazo Chanya Sana.
Ila Kabla Ya Kuanza Moja Kwa Moja Na $50k Inabidi Uweze Kutengeneza $10k Baada Ya Hapo Ndio Utaweza Kuipata Hiyo Uliyokusudia.
Pia Kabla Ya Kupata $10k Inabidi Utengeneze Mazingira Ya Kupata $5k.
Tena Kabla Ya Kupata $5k Inabidi Uwe Tayari Una msingi Wa Kutengeneza $2k
Sasa Hapo Hatujazungumzia Umelenga Kwa Watu Wangapi Kwenye Kila Hatua.
Kila Kitu Kinawezekana Chini Ya Jua
unaishi wapi?
Sana kaka but ungesema una kianzio cha Tsh ngapi na wewe una experience na kitu gani
Angalau hii post imefikirisha ... Bravo.. Challenge..
Issue kama hizi zinawezekana... Inataka mpango, ufuatiliaji, maono, kutokata tamaa, ubunifu wa mara mara na kutengeneza msingi.
Kujipa muda mfupi, ni kutengeneza au kujiandaa kushindwa ... Kinachosimama na kutoa mafanikio makubwa , hakijengwi kwa muda mfupi.. Kwa vile utahitaji watu, kuanza njia fulani na kuacha ,, Kuanguka mahali fulani, kuinuka na kuanza upyaa.
Lakini kuweka miezi michache ni kutaka kuingia kwenye biashara za kubahatisha, ambazo huleta kulia na kusaga meno..
Ati umeona mtu ameleta viazi, vitunguu Kariakoo,kahesabiwa mamilioni, mwingine anaingia kichwa kichwa , haiendi hivyo utapasua engine, mashine ya boxer haiwezi kuendesha Prado..
Sema kweli hii inawezekana ila inahitaji kung'amua jambo vibaya sana.
Angalia uzi wa ONTARIO alotengeneza 20M kwa mwezi mmoja sasa kwa ratio ya miezi 6 si 120M iyo.....
Endelea kuchoma ubongo....hapa unahitaji bidhaa/huduma utakayouza kwa volume kubwa sana na ili uuze kwa big volume (idadi kubwa ya Wat u) inabidi iwe ni hitajio haswa la watu rejelea uwo uzi wa 20M kwa mwezi jamaa alikuwa analima mahekari 200h...100 ile ni volume kubwa most... Pili au bidhaa isiwe itajio kivile ila iwe inashawishi ndio mfano Dela uuze kwa 3000/= mtaani hakuna mwanamke wamtaani atakosa kununua so utauza in Big volume.
Tuendelee ku-Push brain....
AmenNina hakika utafanikiwa.
Nimejifunza kitu hapa.
Thanks kwa uzi mkuu.
Mkuu usilete makuzi na Biashara kilamtu angekuwa millionaire kwa ratio izo.biashara ya mtaji mkubwa inafaida kubwa na ni nyingi za uhakika
laiti kama mikopo bank wangekuwa wanatoa kwa kuweka rehani moyo wako
basi ningechukua mil 50 na ningezilipa zote baada ya mwezi mmoja
ningeweza kukopa milio 300 ndani ya miezi sita ningekuwa nimelipa zote kwa mwaka nafunga hesabu ya 3Bil as profit
shida hakuna mwenye pesa atakupa pesa
unahitaji uanze wewe kuikuza pesa yako binafsi