Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
- Thread starter
- #21
Madera unayosema naweza kununua nje kwa bei isiyozidi 2000tsh
mfano tu,umenunua madela 20,000,
kwa bei ya kununulia tsh 10,000=
utatumia milioni 200,
utauza kwa 15000 kwa watu elfu 20,
utapata faida ya milion 100,
hapa yataka atleas utafute kitu utakachonunua kwa wholesale price ya tsh 5000 na uje kuuza kwa tsh 10,000,