Nataka kutengeneza milioni 100tsh!

Nataka kutengeneza milioni 100tsh!

Yaani kwa hesabu za haraka haraka,
kwa watu 5000, faida ya elfu 25, kama profit margin yako ni 30%, ina maana hapo kila bidhaa moja ni kama 83 elf hiv, ambapo kwa za kutosha watu 5000, mtaji wake ni Ml 400 hiv
mmmmh hii hesabu ni pasua kichwa
Haisomeki
 
mmmmh hii hesabu ni pasua kichwa
Haisomeki
Yaani ili uuze bidhaa moja kwa watu 5000, zitakzo kuingizia faida ya shillingi 25000, kila bidhaa, ili uweze kutengeneza walau million 125 hiv, unahitaji kuwa na mtaji wa shillingi walau million 415 hiv kwani kila bidhaa itakayo kuingiza faida ya shillingi 25000, makadirio ya kawaida yanaonesha kuwa itakucost wewe kwenye 83000 hivi
 
biashara ya mtaji mkubwa inafaida kubwa na ni nyingi za uhakika
laiti kama mikopo bank wangekuwa wanatoa kwa kuweka rehani moyo wako
basi ningechukua mil 50 na ningezilipa zote baada ya mwezi mmoja

ningeweza kukopa milio 300 ndani ya miezi sita ningekuwa nimelipa zote kwa mwaka nafunga hesabu ya 3Bil as profit

shida hakuna mwenye pesa atakupa pesa
unahitaji uanze wewe kuikuza pesa yako binafsi
unaweka rehani moyo wako bank, then ukifeli kurejesha mkopo, wanakata kichwa chako kama collateral
 
Umeshawahi kufanya biashara wewe?
Yaani ili uuze bidhaa moja kwa watu 5000, zitakzo kuingizia faida ya shillingi 25000, kila bidhaa, ili uweze kutengeneza walau million 125 hiv, unahitaji kuwa na mtaji wa shillingi walau million 415 hiv kwani kila bidhaa itakayo kuingiza faida ya shillingi 25000, makadirio ya kawaida yanaonesha kuwa itakucost wewe kwenye 83000 hivi
 
Umenifurahisha eti Bank wangetoa mkopo kwa kuweka rehani/Dhamana ya Roho [emoji16][emoji16][emoji16][emoji38], Siku ukishindwa kulipa wanakuua au ?
biashara ya mtaji mkubwa inafaida kubwa na ni nyingi za uhakika
laiti kama mikopo bank wangekuwa wanatoa kwa kuweka rehani moyo wako
basi ningechukua mil 50 na ningezilipa zote baada ya mwezi mmoja

ningeweza kukopa milio 300 ndani ya miezi sita ningekuwa nimelipa zote kwa mwaka nafunga hesabu ya 3Bil as profit

shida hakuna mwenye pesa atakupa pesa
unahitaji uanze wewe kuikuza pesa yako binafsi
 
Ndoto yangu ni kutengeneza usd 50,000$ ndani ya miezi sita!inaweza kuwa ni ngumu lakini inawezekana kabisa kama ukitumia Juhudi,nguvu na maarifa ya kibabe zaidi!
Ni ukweli usiopingika kwa maisha ya kibongo bongo ukipata milioni 120 unaweza ukapunguza kabisa ukali wa umaskini,mfano hapo unaweza ukawa na nyumba ya milioni 30,gari ndogo tu yakufanyia shughuli zako milioni 15,na ukabaki na milioni 85 za kuendesha biashara zako!
Sasa hapo napiga mahesabu ni kitu gani utawauzia watu 5000 ambacho utapata faida ya dola 10 kwa kila kichwa!!!!?
Ama ni huduma gani unaweza ukafanyia watu 5000 kila mmoja akakupatia kiasi cha 10usd!!?
Idadi ya watanzania ni takribani milioni 50+
Lkn watu 5000 tu wanaweza kubadilisha maisha yetu Mimi na wewe!
Watu 5000 ni sawa na kupata watu 200 kila mkoa
Labda ukabeti,
 
Fanya hizi biashara utatoka chap..
Uza dawa za kulevya.
Uza mali asili kama pembe za ndovu.
Uza binadamu.
Uza vipodozi vyenye mercury.
Lete mrejesho baada ya huo muda, utaikopesha tz.
Biashara halali utachukua mda mrefu, huo hautoshi.

Nb: Unatakiwa uwe na connection za maana SANA.
shda n pale unapodakwa na kupewa kesi ya uhujumu uchumi ....kwan unafikiri watu hatupendi kutoka yaan sometyme nafikiriaga nijiunge na c*m nianze kusifia ili na mm niwe waziri[emoji54]
 
Ingia serikalini kapige rushwa.
Hio pesa ni fasta sana serikalini ukiwa mla rushwa.
Jiulize incharge wa kodi bandarini anashindwa kulaza 1m kwa siku from rushwa??
mwanangu serikalin patamu ndo mana kuna ushindani mkali
 
Umenifurahisha eti Bank wangetoa mkopo kwa kuweka rehani/Dhamana ya Roho [emoji16][emoji16][emoji16][emoji38], Siku ukishindwa kulipa wanakuua au ?
Maana yangu nii kaka
Mara nyingi biashara za mikopo midogo midogo sio za uhakika sana ukiringanisha na biashara za mitaji mikubwa
nirahisi mtu aliyekopa mil 10 kushindwa katika biashara tofauti na yule aliyekopa milion 100

issue inakuja tu ni how possible kwa biashara yako ambayo inawekea pesa,

na kuna aina na aina za biashara kulingana na eneo na kiwango cha uwekezaji

kwahiyo maana yangu ni hii endapo nigeweza kupata mkopo wa kiasi kikubwa cha pesa kuanzia kama hata mili 150 nirahisi zaidi kusimamisha biashara ukilinganisha na anayekopa mil 1

sasa shida vigezo vya kukopa ndio vinafanya vijana wengi tushindwe kuendelea mbele sababu unauwezo wakuizalisha pesa ila hauna sifa ya kukopesheka,

sasa katika pointi ni kwamba endapo ingekuwa mikopo haiangalii vigezo tu ambavyo wao wanaviweka kwasasa wakakuamini wewe kama wewe ingesaidia

ila haya mambo unakopa laki 3 unalipa na riba juu mara kimeenda kimerundi ni ishue sana
 
Back
Top Bottom