Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana JF nisaidieni kuna Demu nimelala nae mwezi wa 5 tarehe 28. harafu mwezi wa 12 ananiambia amejifungua mtoto wangu. Hapo nikipiga hesabu ya miezi naona haifiki 9 kabisa.
Wana JF nisaidieni kuna Demu nimelala nae mwezi wa 5 tarehe 28. harafu mwezi wa 12 ananiambia amejifungua mtoto wangu. Hapo nikipiga hesabu ya miezi naona haifiki 9 kabisa.
dahhhh
mkubali mtoto ...cz SI WAKO KIUKWELI
WE MKUBALI TU UKIJUA KUNA SIKU ATAKUAMBIA SI WAKO SO MTAANZIA APO IYO KES LAKIN kwa sasa usibishe na wala utakiwi kubshana na mrongo km uyo...pole
mtoto si wako.
we nae ilikuwaje ukapiga kavu sweeeeeeetie na lilijitu lisilokuwepo kwenye program zako baba?
pole lakin
Wana JF nisaidieni kuna Demu nimelala nae mwezi wa 5 tarehe 28. harafu mwezi wa 12 ananiambia amejifungua mtoto wangu. Hapo nikipiga hesabu ya miezi naona haifiki 9 kabisa.
Wana JF nisaidieni kuna Demu nimelala nae mwezi wa 5 tarehe 28. harafu mwezi wa 12 ananiambia amejifungua mtoto wangu. Hapo nikipiga hesabu ya miezi naona haifiki 9 kabisa.
ahh kumbe ni TETESI?Nikimkubali saizi ina maana ntaendelea kumlea hadi hapo utakapokuja kujulikana ukweli huoni kama utakua mzigo kwangu?
Jambo lingine tokea akiwa mjamzito hadi amejifungua hajawahi kuniambia hizo habari nazisikia tu mtaani kwa watu akijisifia kua amezaa na mimi. na kuna kipindi alikwenda hadi nyumbani kwa wazazi wangu, alienda na mtoto akijitapa kua ni mtoto wangu lakini mimi haniambi chochote. hapo tena nazidi kua na mashaka
Hii inanifanya nizidi kuamini kuwa matumizi ya kondomu yanahitaji kupigiwa debe kwa hali ya juu kabisa,
KWELI KONDOM HAIKUBALIKI!!!!!!!!!!
Mbona juzi ulikataa kuvaa?
:boom::boom:
Mbona juzi ulikataa kuvaa?
hahha hahhah roy umenichekesha wewe!!!!!!!!!
lov uuuuuuuuuuuuuuuu ur one n only beb boy ....SHAKA ONDOA KWANGU
BACHA ANALINDA GETTU WEWE UNALALA NDANI!!!!!!!!
Na siku zote mlinda geti huwa anaijua vizuri sana ratiba ya father house,
kazi yangu ni kujazia tu pale penye mapungufu!
MPANGO WA NJE!!!!!!