Nataka kuwa "Dalali" Nipeni Mbinu!

Nataka kuwa "Dalali" Nipeni Mbinu!

Ctech

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
754
Reaction score
818
Heshima yenu wakuu!

Baada ya kupata Kaelimu kangu ka digrii ya kwanza, nimewaza na kuwazua kilichoko ndani yangu, Nimegundua nikiachana na Profession yangu mimi nina nguvu kubwa ya ushawishi hasa kupitia maneno!

Kwa maana hii nimeamua Part time Job yangu iwe "Udalali", ni matumaini yangu ni kazi ninayoweza kuifanya kwa ufasaha kabisa, ikiwa na faida kwa mnunuzi na muuzaji!

Kwa wazoefu wa hii kazi nipeni tips and tricks, Kijana nipate ya soda!

Santana
 
[IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/473/473723.jpg?1538515688[/IMG]

Santana
JF-Expert Member
Joined Nov 21, 2010
rep.png
684
like.png
694
point.png
180

Oct 5, 2018 #1

Si kila mmoja wetu amefanikiwa kufikia level kubwa ya Elimu wengine tuliishia Shule ya Msingi!

Binafsi mimi Nimeishia darasa la 5, baada ya kujikuta sipendi shule wala kusoma.. nikaona haina umuhimu.. Nikaamua Kujiunga na Veta na Maisha yanasonga!

Vipi wewe umekutana na hali kama hii ukaamua kuishia S/Msingi? na unafanya nini sasa!

Santana
 
[IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/473/473723.jpg?1538515688[/IMG]

Santana
JF-Expert Member

Joined Nov 21, 2010
rep.png
684
like.png
694
point.png
180

Oct 5, 2018 #1

Si kila mmoja wetu amefanikiwa kufikia level kubwa ya Elimu wengine tuliishia Shule ya Msingi!

Binafsi mimi Nimeishia darasa la 5, baada ya kujikuta sipendi shule wala kusoma.. nikaona haina umuhimu.. Nikaamua Kujiunga na Veta na Maisha yanasonga!

Vipi wewe umekutana na hali kama hii ukaamua kuishia S/Msingi? na unafanya nini sasa!

Santana
Sijakuelewa Bi Mkubwa..
 
[IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/473/473723.jpg?1538515688[/IMG]

Santana
JF-Expert Member
Joined Nov 21, 2010
rep.png
684
like.png
694
point.png
180

Oct 5, 2018 #1

Si kila mmoja wetu amefanikiwa kufikia level kubwa ya Elimu wengine tuliishia Shule ya Msingi!

Binafsi mimi Nimeishia darasa la 5, baada ya kujikuta sipendi shule wala kusoma.. nikaona haina umuhimu.. Nikaamua Kujiunga na Veta na Maisha yanasonga!

Vipi wewe umekutana na hali kama hii ukaamua kuishia S/Msingi? na unafanya nini sasa!

Santana




Haha mtani bhana. Sahivi ana digirii ujue!
 
Back
Top Bottom