Ubavu
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 2,790
- 3,263
Tafuta smartphone install apps za social media mfano fb whatsapp and insta then ongeza na online business apps like Kupatana zoom nk. Then jiunge na magroup ya whatsapp fb yale ya biashara. Unaweza kuangalia bidhaa za watu kwenye hayo magroup then unaziuza kwa chajuu. Mie nina marafiki zangu wanaofanya kazi kwenye maduka ya electronics na nguo kkoo so wanapiga picha naziedit kwa kuweka bei mpya na contacts then nazisambaza kwenye social media. Mwaka wa pili huu sina kazi but nakula navaa na kuhonga [emoji6][emoji6][emoji6]juu kwa udalali wa mitandaoni.