Usimzingue chalii yangu Aisee 😀😀😀😀
[IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/473/473723.jpg?1538515688[/IMG]
Santana
JF-Expert Member
Joined Nov 21, 2010
684
694
180![]()
Oct 5, 2018 #1
Si kila mmoja wetu amefanikiwa kufikia level kubwa ya Elimu wengine tuliishia Shule ya Msingi!
Binafsi mimi Nimeishia darasa la 5, baada ya kujikuta sipendi shule wala kusoma.. nikaona haina umuhimu.. Nikaamua Kujiunga na Veta na Maisha yanasonga!
Vipi wewe umekutana na hali kama hii ukaamua kuishia S/Msingi? na unafanya nini sasa!
Santana