Nataka kuwa "Dalali" Nipeni Mbinu!

Nataka kuwa "Dalali" Nipeni Mbinu!

Usimzingue chalii yangu Aisee 😀😀😀😀
[IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/473/473723.jpg?1538515688[/IMG]

Santana
JF-Expert Member

Joined Nov 21, 2010
rep.png
684
like.png
694
point.png
180

Oct 5, 2018 #1

Si kila mmoja wetu amefanikiwa kufikia level kubwa ya Elimu wengine tuliishia Shule ya Msingi!

Binafsi mimi Nimeishia darasa la 5, baada ya kujikuta sipendi shule wala kusoma.. nikaona haina umuhimu.. Nikaamua Kujiunga na Veta na Maisha yanasonga!

Vipi wewe umekutana na hali kama hii ukaamua kuishia S/Msingi? na unafanya nini sasa!

Santana
 
Principles
1. Chagua udalali unaotaka kuufanyia kazi ila ili upate kazi nyingi usichague sector piga kote kote i.e usafirishaji mizigo, kukodi mashine za ujenzi, uuzaji wa vitu mbali mbali etc

2. Pata information za kutosha juu ya kitu unacho dalalia

3. Usiweke cha juu kikubwa sana

4.ukipata namba ya mteja wa kwanza usifute

5. Uwe na mtaji ili mishe ikibuma fedha unarejesha itakujengea heshima

6. Sometimes ingia gharama zako kama itafaa ili kujenga trust

7. Simu zako mda wote ziwe zinasalio na bundle na chaji

8. Jitangaze kwenye mitandao ya jamii

9.usiwe mdhulumaji, madalali ni ndugu mwenzio akiwa na shida msaidie

10. Kuzungukana kwenye michongo sio ujanja

11.usiwe mkali kuwa na lugha ya tamu yenye matumaini

12.uwe mvumilivu

13. Ukipata hela fanyia kitu cha maana maana sometimes ishu huwa zinagoma hadi miezi 6

14. Kila la kheri
 
Dalali ni sawa na mwanasiasa! Jiandae kuwa muongo wa kiwango cha Phd afu tengeneza urafiki na police na andaa watu wa kuwa wanakudhamini mahakamani!
Madalali wachache sana waaminifu na ukiwa mwaminifu utafanikiwa sana maana mtaji ni mdomo tu na pesa inaingia kiulaini kabisa
 
Heshima yenu wakuu!

Baada ya kupata Kaelimu kangu ka digrii ya kwanza, nimewaza na kuwazua kilichoko ndani yangu, Nimegundua nikiachana na Profession yangu mimi nina nguvu kubwa ya ushawishi hasa kupitia maneno!

Kwa maana hii nimeamua Part time Job yangu iwe "Udalali", ni matumaini yangu ni kazi ninayoweza kuifanya kwa ufasaha kabisa, ikiwa na faida kwa mnunuzi na muuzaji!

Kwa wazoefu wa hii kazi nipeni tips and tricks, Kijana nipate ya soda!

Santana
utakuwa umejika ktk nafasi nzuri ya utapeli,angalizo uwe na kumbukumbu imara
 
mbinu ya kwanza madalali huwa hajakubali kushindwa, mteja akijileta ataoneshwa kila sehem ata kama hapamvutii kwa kuona, atavutiwa kwa maneno yako hadi atoe hela.
 
Heshima yenu wakuu!

Baada ya kupata Kaelimu kangu ka digrii ya kwanza, nimewaza na kuwazua kilichoko ndani yangu, Nimegundua nikiachana na Profession yangu mimi nina nguvu kubwa ya ushawishi hasa kupitia maneno!

Kwa maana hii nimeamua Part time Job yangu iwe "Udalali", ni matumaini yangu ni kazi ninayoweza kuifanya kwa ufasaha kabisa, ikiwa na faida kwa mnunuzi na muuzaji!

Kwa wazoefu wa hii kazi nipeni tips and tricks, Kijana nipate ya soda!

Santana
Udalali bahna ukijifanya una mshipa wa aibu hutoiweza hiyo kazi. udalali upo dizaini mbili, kutafutwa na wateja ama kutafuta wateja. Udalali upi labda unaotaka wewe [emoji52]
 
Principles
1. Chagua udalali unaotaka kuufanyia kazi ila ili upate kazi nyingi usichague sector piga kote kote i.e usafirishaji mizigo, kukodi mashine za ujenzi, uuzaji wa vitu mbali mbali etc

2. Pata information za kutosha juu ya kitu unacho dalalia

3. Usiweke cha juu kikubwa sana

4.ukipata namba ya mteja wa kwanza usifute

5. Uwe na mtaji ili mishe ikibuma fedha unarejesha itakujengea heshima

6. Sometimes ingia gharama zako kama itafaa ili kujenga trust

7. Simu zako mda wote ziwe zinasalio na bundle na chaji

8. Jitangaze kwenye mitandao ya jamii

9.usiwe mdhulumaji, madalali ni ndugu mwenzio akiwa na shida msaidie

10. Kuzungukana kwenye michongo sio ujanja

11.usiwe mkali kuwa na lugha ya tamu yenye matumaini

12.uwe mvumilivu

13. Ukipata hela fanyia kitu cha maana maana sometimes ishu huwa zinagoma hadi miezi 6

14. Kila la kheri
Asante sana Mkuu, Nimekuelewa sana ila Hapo Penye wekundu nieleweshe zaidi!
 
Back
Top Bottom