Asante ila nipeni mbinu hasa za hii kaziUdalali hujaga automatically tu unajikuta ni dalali
Ahaha asante Mkuu, Hapo kwenye namba za simu nimekuelewa!Cha kwanza kabisa inabidi uwe na number nyingi za simu.
Uongo wenye karibu na ukweli ndio mtaji
NB; Ukichanganya hapo juu unaweza kujikuta tapeli
Asante ila nipeni mbinu hasa za hii kazi
Magari, Nyumba, Viwanja, PikipikiKwanza kua specific udalali kwenye sector gani?
Asante sanaKuna dalali wa magari
Kuna madalali wa nyumba,mashamba na viwanja
Kuna madalali wa kkoo,wao wanakaa mbele ya maduka mteja akikosa kitu wao wanakipata popote ndani ya dk chache tu
HahahahaUdalali hujaga automatically tu unajikuta ni dalali
Sijakuelewa Bi Mkubwa..[IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/473/473723.jpg?1538515688[/IMG]
Santana
JF-Expert Member
Joined Nov 21, 2010
684 694 180
Oct 5, 2018 #1
Si kila mmoja wetu amefanikiwa kufikia level kubwa ya Elimu wengine tuliishia Shule ya Msingi!
Binafsi mimi Nimeishia darasa la 5, baada ya kujikuta sipendi shule wala kusoma.. nikaona haina umuhimu.. Nikaamua Kujiunga na Veta na Maisha yanasonga!
Vipi wewe umekutana na hali kama hii ukaamua kuishia S/Msingi? na unafanya nini sasa!
Santana
[IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/473/473723.jpg?1538515688[/IMG]
Santana
JF-Expert Member
Joined Nov 21, 2010
684 694 180
Oct 5, 2018 #1
Si kila mmoja wetu amefanikiwa kufikia level kubwa ya Elimu wengine tuliishia Shule ya Msingi!
Binafsi mimi Nimeishia darasa la 5, baada ya kujikuta sipendi shule wala kusoma.. nikaona haina umuhimu.. Nikaamua Kujiunga na Veta na Maisha yanasonga!
Vipi wewe umekutana na hali kama hii ukaamua kuishia S/Msingi? na unafanya nini sasa!
Santana
Aisee ni dalali huyo mwamba?Lazima uwe na Kichwa Kichafu
hahahaah, 5/10/2018 alikuwa hana degree lakini ndani siku 13 amepata kadegree kake, anatafuta kazi ya udalali. hahahahahaahhaHaha mtani bhana. Sahivi ana digirii ujue!
hahahaah, 5/10/2018 alikuwa hana degree lakini ndani siku 13 amepata kadegree kake, anatafuta kazi ya udalali. hahahahahaahha
Usimzingue chalii yangu Aisee ππππhahahaah, 5/10/2018 alikuwa hana degree lakini ndani siku 13 amepata kadegree kake, anatafuta kazi ya udalali. hahahahahaahha