Nataka kuwa na uso soft jamani

Status
Not open for further replies.
Kwa jinsi ninavyoona mpaka kijana kufikia hatua yakutaka kuwa na uso soft hajaanza leo inamaanisha keshatumia make up amechoka sasa iv anataka aviweke pembeni.....na ni hawa vijana wanaojiita masharobaro unakuta wamelelewa ki mayai toka wakiwa wadogo ndomana hata kazi kufanya inakuwa tabu mimi sizani kama mwanaumekweli unataka uso kuwa soft ..kweli kunakazi unayofanya..Unamajukumu....unamalengo uliyojiwekea... Huyu mimi naona amepotea
 
Wengine hapa mnaponda mkitoka hapa mnaenda saluni kupiga scrub......maisha bila unafiki hayaendi
 
Mkuu umenifanya nicheke sana....Heti anajisifia ana macho mazuri?? Dah kweli Dunia inaelekea pabaya inamana sasa kama ana macho mazuri tumfanyeje sisi..mhhhh

Sijui mkuu

Labda unaweza kuhisi tu kile ambacho anachokua anataka ......lol!!!!!!!!!
 
Nenda mombasa utapewa kila aina ya lotion utang'aa kama kioo.
 


Kwa mzazi yeyote, hii hali inatisha....

Hivi unajisikiaje kuona mtoto wako uliyemtegemea kuwa mrithi wa ukoo anazama baharani??

Tunahitaji muujiza haraka sana!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…