kipanga85
JF-Expert Member
- Apr 15, 2024
- 2,459
- 6,466
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hasila san sababu na wewe ni maskin mwenzangu, mim sijasoma kiivo na wala hio digirii siijui kwaio pole sana mumaskini mwenzang tutafutte pesa kwa namuna yoyote au kama wewe umerizika na umasikini wako basi fuleshiWw Wala una maishà magumu SEMA ndio yule kijana wa hovyo wakusema mm siwezi kwenda kufagia Barabara maana watu watakuonaje ingali ukifagia Barabara unalipwa helaa.unachagua kazi kisa una ka degree Kako au huna ila ushajiwekea mipaka ya kazi Fulani nafanya ,kazi fualn huwezi kufanya hvyo lzm maishà yakuchape maana zile kazi ambazo utaki kuzifanya Kila cku ndio zipo na Zina Hela tu sema kwakuwa ndio hvyo utaki kz ,,mwishowe ndio hyo kuwaza ujinga wa kwenda Kwa waganga
Shenziii kbs
Muulize Ommy Dimpoz. Anzia hapo...UtafanikiwaAsalaam alaykum. Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.
Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu. Sitaki kua maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Hiri swara la kuvuriwa ubingwa siriamini kabisa ni kauri tu za kejeri zinazotoka kwa maskin wenzangu wario na hasira za kimaishaSiku hizi freemasons na waganga wamebana sana na kuongeza masharti. Siyo kitonga kivile kama zamani.
Kwanza kabla ya kutoa kafara lazima rinda litatuliwe halafu ndo kafara sasa inafuata.
Sasa kuna haja gani ya utajiri huku umevuliwa ubingwa?
Nakupa namba ya mgangaa ilaa upo tayari Kwa kuvuliwa ubingwa mkuu upate huo utajiri 🤪🤪🤪Una hasila san sababu na wewe ni maskin mwenzangu, mim sijasoma kiivo na wala hio digirii siijui kwaio pole sana mumaskini mwenzang tutafutte pesa kwa namuna yoyote au kama wewe umerizika na umasikini wako basi fuleshi
Sio kwer ndugu yangu mwemaSawa ila kumbuka utajiri sio chanzo cha furaha yako..
Nisaidie konekshen nduguSawa ila kumbuka utajiri sio chanzo cha furaha yako..
Siku hizi freemasons na waganga wamebana sana na kuongeza masharti. Siyo kitonga kivile kama zamani. See
Kwanza kabla ya kutoa kafara lazima rinda litatuliwe halafu ndo kafara sasa inafuata.
Sasa kuna haja gani ya utajiri huku umevuliwa ubingwa?
Sio tamaa mzee, naamin kabisa nachotafuta kitanifanya niwe tajir. Hizo mawazo nirikua nazo kwa muda mrefu ila ndio zimeniongezea umaskini kwa spid ya 5gAcha tamaa pambana tu taratibu hicho unachotafuta kitakufanya kuwa maskini kuliko ulivyo leo
Usiuze roho yako kwa ibilisi kaka...wewe ni muhanga wa msongo wa mawazo....fanya jitihada tafuta dollar 100 sawa na 27000/ kisha kama una namba ya nida niambie nikuelekeze namna ya kupata pesa bila kuuza roho yako huko....KARIBU sana kijana mwenzangu.Asalaam alaykum. Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa
Ukipata ela huko niconnect na mimiNaomba pm namba bwana mukubwa
Usiwaze mdauUkipata ela huko niconnect na mimi
Utani wa kijinga
Hiri swara la kuvuriwa ubingwa siriamini kabisa ni kauri tu za kejeri zinazotoka kwa maskin wenzangu wario na hasira za kimaishaNakupa namba ya mgangaa ilaa upo tayari Kwa kuvuliwa ubingwa mkuu upate huo utajiri [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Maana unavyozungumzia huo utajiri c km unavyoandika neno lenyewee..[emoji23]
Pole sana kwa hali unayo pitia
Shukurani mkuuUnapiga kazi gani kwa sasa?
NalifikiriaAnzisha kanisa.
Wajinga ndiyo waliwao.
duh!Majini wenyewe hawana pesa mi si naona demu anapandisha mashetani shetani anaomba anunuliwe udi wa tsh 50 hela ya kukutajirisha wewe aitoe wapi
Hiri swara la kuvuriwa ubingwa siriamini kabisa ni kauri tu za kejeri zinazotoka kwa maskin wenzangu wario na hasira za kimaishaHaina haja ya pesa za majini. Kama upo tayari kutoa jicho njoo PM, utapata utajiri mkubwa sana
Shukrani ndugu yanguKila la kheri mkuu