Nataka kuwa tajiri mkubwa sana, nauchukia umaskini

Una hasila san sababu na wewe ni maskin mwenzangu, mim sijasoma kiivo na wala hio digirii siijui kwaio pole sana mumaskini mwenzang tutafutte pesa kwa namuna yoyote au kama wewe umerizika na umasikini wako basi fuleshi
 
Muulize Ommy Dimpoz. Anzia hapo...Utafanikiwa
 
Siku hizi freemasons na waganga wamebana sana na kuongeza masharti. Siyo kitonga kivile kama zamani.

Kwanza kabla ya kutoa kafara lazima rinda litatuliwe halafu ndo kafara sasa inafuata.

Sasa kuna haja gani ya utajiri huku umevuliwa ubingwa?
Hiri swara la kuvuriwa ubingwa siriamini kabisa ni kauri tu za kejeri zinazotoka kwa maskin wenzangu wario na hasira za kimaisha
 
Una hasila san sababu na wewe ni maskin mwenzangu, mim sijasoma kiivo na wala hio digirii siijui kwaio pole sana mumaskini mwenzang tutafutte pesa kwa namuna yoyote au kama wewe umerizika na umasikini wako basi fuleshi
Nakupa namba ya mgangaa ilaa upo tayari Kwa kuvuliwa ubingwa mkuu upate huo utajiri 🤪🤪🤪

Maana unavyozungumzia huo utajiri c km unavyoandika neno lenyewee..😂
 
Acha tamaa pambana tu taratibu hicho unachotafuta kitakufanya kuwa maskini kuliko ulivyo leo
Sio tamaa mzee, naamin kabisa nachotafuta kitanifanya niwe tajir. Hizo mawazo nirikua nazo kwa muda mrefu ila ndio zimeniongezea umaskini kwa spid ya 5g
 
Asalaam alaykum. Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa
Usiuze roho yako kwa ibilisi kaka...wewe ni muhanga wa msongo wa mawazo....fanya jitihada tafuta dollar 100 sawa na 27000/ kisha kama una namba ya nida niambie nikuelekeze namna ya kupata pesa bila kuuza roho yako huko....KARIBU sana kijana mwenzangu.
 
Nakupa namba ya mgangaa ilaa upo tayari Kwa kuvuliwa ubingwa mkuu upate huo utajiri [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Maana unavyozungumzia huo utajiri c km unavyoandika neno lenyewee..[emoji23]
Hiri swara la kuvuriwa ubingwa siriamini kabisa ni kauri tu za kejeri zinazotoka kwa maskin wenzangu wario na hasira za kimaisha
 
Haina haja ya pesa za majini. Kama upo tayari kutoa jicho njoo PM, utapata utajiri mkubwa sana
Hiri swara la kuvuriwa ubingwa siriamini kabisa ni kauri tu za kejeri zinazotoka kwa maskin wenzangu wario na hasira za kimaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…