Nataka kuwa winga Kariakoo

Nataka kuwa winga Kariakoo

Naombeni ushauri jinsi ya kuwa winga KARIAKOO sijawahi kufanya hii mishe na sijui pa kuanzia nifanyaje ili niweze kufanya, wiki ijayo naingia Dar kutoka Singida na Ni mara yangu ya kwanza kufika Dar [emoji120]
itakuchukua mda sema ungekua muwazii uwinga wako utahusiana na nini mfano nguo, electroni tv, simu n.k

lakini inahitaji uwe na duka la kufanya nalo lazii tofauti na hapo kazii itakua ngumu mnoo
 
Uko na simu kubwa weka bidhaa zako, kingine ni hivi, hakikisha unajua au kufahamu bei ya bidhaa ili uweze kuuza kwa maduka.
Ukipata urafiki na machinga mmoja naye akutambulishe kwa duka there you go.

Winga mzuri ni wa nguo na viatu ndio mwepesi kupata pesa za kula chap chap.....

Pia TV, simu, buffa n.k
 
[emoji95]CHULight LED bulbs 5W

[emoji1666][emoji1666]TUNAUZA JUMLA: 13,000/10pc
[emoji597][emoji597]:- TUNATUMA HADI MIKOANI

BOOKING:- 0674 745 463
[emoji598][emoji597]MIKOANI TUNATUMA
BOOKING:- 0674 745 463
Screenshot_20231006-122315_1696586334316.jpg
 
Back
Top Bottom