Nataka kuwah msimu wa mchele mashambani hivi ni mwezi wa ngapi mavuno yanachanganya na mchele mashambani hupatikana kwa bei rahisi

Nataka kuwah msimu wa mchele mashambani hivi ni mwezi wa ngapi mavuno yanachanganya na mchele mashambani hupatikana kwa bei rahisi

Anataka kutapeliwa tu huyu, Mimi Kuna mtu humu alishawahi kunitapeli halafu alikuwa ni Mstaarabu Sana.
Wengi ya wanaosema njoo hapa asiwaamini. Fikiria: Inakuwaje mtu anakung'ang'aniza kukuomba ili akuonyeshe sehemu ya kununua?
 
Na ni gunia la debe ngapi
Hoyaa, wewe utapigwa sasa hivi kama usipokuwa mwangalifu. Anza kidogo kidogo. Tenga fedha za kufanya utafiti. Nenda maeneo uliyoambiwa, weka kambi (katu usiseme kwa kila mtu kuwa unataka kufanya hiyo biashara). Angalia jifunze wanavyonunua, usafiri unavyokuwa na gharama zake, kisha anza na gunia chache.
 
Hoyaa, wewe utapigwa sasa hivi kama usipokuwa mwangalifu. Anza kidogo kidogo. Tenga fedha za kufanya utafiti. Nenda maeneo uliyoambiwa, weka kambi (katu usiseme kwa kila mtu kuwa unataka kufanya hiyo biashara). Angalia jifunze wanavyonunua, usafiri unavyokuwa na gharama zake, kisha anza na gunia chache.
Saw saw bro nimekuelewa san
 
Habarii natak mwaka huu niingie mwenyewe chaka kwenda kufunga mzigo wa mchele na kuja nao hapa dar

Naombeni muongozo wenu fremu ninayo mombasa ipo sehem yeny mzunguko mkubwa wa watu pia ni karib na lami ko wateja sina ila kutokana na location naamin sitahangaika sana kutafuta wateja wa kuanza nao.

Pili hii biashara ndo mala yang ya kwanz ko naomba kujua mkoa upi na chaka lipi linatoa mchele safi

Na jinsi gani naweza kugundua mchele safi yan kiufupi vitu vya kuzingatia unaponunua mchele huko vijijin

Pia kingine faida mfano nikichuka tani mbili faida inaweza kurange vp nikija kuuza na itachukua mda ganii

Wana jf naombeni msaada wenu sana lengo ni kujikomboa na umaskini
Michele mwaka huu Iko bwerere huwezi maliza Kila Kona ya Nchi imejaa.
 
Back
Top Bottom