macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Wengi ya wanaosema njoo hapa asiwaamini. Fikiria: Inakuwaje mtu anakung'ang'aniza kukuomba ili akuonyeshe sehemu ya kununua?Anataka kutapeliwa tu huyu, Mimi Kuna mtu humu alishawahi kunitapeli halafu alikuwa ni Mstaarabu Sana.
Hoyaa, wewe utapigwa sasa hivi kama usipokuwa mwangalifu. Anza kidogo kidogo. Tenga fedha za kufanya utafiti. Nenda maeneo uliyoambiwa, weka kambi (katu usiseme kwa kila mtu kuwa unataka kufanya hiyo biashara). Angalia jifunze wanavyonunua, usafiri unavyokuwa na gharama zake, kisha anza na gunia chache.Na ni gunia la debe ngapi
Mzee mwaga tu mawasiliano hadharani wengi tunatafutaTabora.
Nitafute au nipe mawasiliano yako PM nikuunganishe sehemu utakayokuja kupata mchele mzuri easily and accessible
Saw saw bro nimekuelewa sanHoyaa, wewe utapigwa sasa hivi kama usipokuwa mwangalifu. Anza kidogo kidogo. Tenga fedha za kufanya utafiti. Nenda maeneo uliyoambiwa, weka kambi (katu usiseme kwa kila mtu kuwa unataka kufanya hiyo biashara). Angalia jifunze wanavyonunua, usafiri unavyokuwa na gharama zake, kisha anza na gunia chache.
Michele mwaka huu Iko bwerere huwezi maliza Kila Kona ya Nchi imejaa.Habarii natak mwaka huu niingie mwenyewe chaka kwenda kufunga mzigo wa mchele na kuja nao hapa dar
Naombeni muongozo wenu fremu ninayo mombasa ipo sehem yeny mzunguko mkubwa wa watu pia ni karib na lami ko wateja sina ila kutokana na location naamin sitahangaika sana kutafuta wateja wa kuanza nao.
Pili hii biashara ndo mala yang ya kwanz ko naomba kujua mkoa upi na chaka lipi linatoa mchele safi
Na jinsi gani naweza kugundua mchele safi yan kiufupi vitu vya kuzingatia unaponunua mchele huko vijijin
Pia kingine faida mfano nikichuka tani mbili faida inaweza kurange vp nikija kuuza na itachukua mda ganii
Wana jf naombeni msaada wenu sana lengo ni kujikomboa na umaskini