Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hili bila shaka ni dume la Dar mkuu!!....Siyo kwa kujiremba huku!......Eti kutoboa pua na macho![emoji17]Jukwaa la urembo, mtu kaja kupost kitu cha urembo, mnamshambulia,
Sasa nyie marijali kwenye jukwaa la urembo mlikuja kufata nini???
Some people bwanaaaaa.
Anataka kufanyiwa ile shughuli ulimshawishi aliyekuwa mume wangu kuifanya.Nimefika, eti anataka nini huyu?..
Amesema wa Arachuga,Hili bila shaka ni dume la Dar mkuu!!....Siyo kwa kujiremba huku!......Eti kutoboa pua na macho![emoji17]
hili ni jukwaa la urembo. umefata nini?Mkuu wewe ni "ME" kweliii
hili ni jukwaa la urembo. umefata nini?Nimeogops kwa kweli
hili ni jukwaa la urembo. umefata nini?we ni wa jinsia gan?
hili ni jukwaa la urembo. umefata nini?Mkuu wewe ni "ME" kweliii
hili ni jukwaa la urembo. umefata nini?Najua baadaya hapa utakuja kutuuliza hivi kile kipini cha pua wanawekaje na kina madhara yoyote!!!???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hili ni jukwaa la urembo. umefata nini?Kwani ukifanya hivyo utakua umepata nini huliziki na mungu alivyo kuumba kua mwenye shukran acha kuiga iga kila kitu
kui kwani ulimi ulitoboa wapi??..embu msaidie na kijana hapo nae apendeze...
Anataka kufanyiwa ile shughuli ulimshawishi aliyekuwa mume wangu kuifanya.
Kwani hata alinisikiliza sasa!!Huko Arusha kusema?, sijui sehemu huko aliko yeye. Kwani Kaboom wewe si unafanya hii shughuli?!
Tehe teh!, si ulimshika mkono wewe?, bibie Mali weye!..
Mi nawafanyia watt wa kike tu...Huko Arusha kusema?, sijui sehemu huko aliko yeye. Kwani Kaboom wewe si unafanya hii shughuli?!
Tehe teh!, si ulimshika mkono wewe?, bibie Mkali weye!..
[emoji23] [emoji23] [emoji23]hili ni jukwaa la urembo. umefata nini?
Huyu atakuwa mwanaume wa DarWewe ni dume la Dar mkuu?