Nataka kuweka vitu sawa timu ya watanzania haijafungwa bali CCM ndio iliyofungwa

Hasira sina ila jamaa kaharibu mudi ya wapenzi wa mpira mpaka watu wanageuziana silaha,ushamba kitu kibaya sana matokeo yake kavuna aibu.
Kinachokera ni mnamsema sema saana na ndicho kitu anachokipenda, mnampa saana umaarufu. Huyu siku akija kujitwist kidogo tuu anakua zaidi ya alipo maana anajua kuwachezesha ngoma
 

Statistics ndio hizo. Kenya walikuwa technically juu kimchezo. Sasa nyie endeleeni na siasa zenu zilizovunda za kupigana mieleka jalalani.
 
Kila mtu alitarajia mwisho mbaya kwa timu yetu baada ya Bashite kutia mguu tu
Jamaa ana gundu acha kabisa, unaweza chemsha maharage yako vizuri tu kwa ajili msosi wa jioni sasa jamaa akija akagusa tu sufuria tena kwa nje maharage yote yanachacha. 😯😯😯😯😯 hii si balaa hii!!!
 
Haleluya Amen tumefungwa

Hypocrites ni tabia mbaya
Unawakanya wengine wakati wewe unafanya hilo unalokanya
Hii nchi ni ya kwetu sote
Huu ubaguzi mnaouhubiri utaliangamiza Taifa siku si nyingi
Tangazeni Upendo Umoja na Undugu
Sisi sote ni ndugu Kwa nini tuwe maadui
Tunayaona yaliyotokea nchi jirani
Uzao wetu utaishi kwa mateso sana
 
98% ni ccm ndio maana mmeshindwa kama ambavyo hua mnashindwa kwenye kura mnatumia police mlifikir na huko mngetumia hao police wenu mmegongwa hangaikeni nalitimu lenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…