Hizo tafiti umezifanyia wapi kwamba Watanzania hawaoni uchungu
Kwanini tuone uchungu timu ya CCM inapofungwa kwani sisi wote ni CCM wataona uchungu wenye timu yao sinwengine tutaendelea kushangilia timu za taifa za Jirani kulikonkuishangilia timu ya CCM