Katibukata
Senior Member
- Dec 27, 2007
- 182
- 11
hofu yangu kama kutakuwa na mawasiliano btn baba na mtoto ipo cku baba anaweza akataka akaishi nae huko na mimi nataka nikae na baby wangu hapa hapa tz mwanzo mwisho.
Mungu tu ndo anaweza kukufanya uishi na mtoto mwanzo hadi mwisho. Utamnyima baba yake lakini si Mungu aliyemuumba. Upo?