We puunga, Bahresa ana elimu gani? Nani anaendesha makampuni yake? Umeona elimu zao huko kwenye website yake yake? Acha bange banaNenda kariakoo pale wenye maduka makubwa kaulize elimu kama utamkuta ata mwenye phd uje humu usimulie, nenda mwanza, kahama, mbeya, tunduma kaone watu walivyo na mawe alaf kaulize elimu yao uone...
Tafuta pesa uone kama wenye hyo elimu hawajaanza kujikomba komba kwangu kwa mapambio.
Ukipata nafasi ya kusoma Soma Sana ila ukipata mchongo wa kupiga pesa zitafute kwa bidiiasilimia kubwa wakulima wenye plantaions hapa TZ hawana elimu kabisa au kama wanazo basi za kuunga unga, wenye viwanda na biashara kubwa mijin na vijijin elimu zao ni za kuunga unga na soletape au hawana kabisa ila wenye elimu wanaenda kuomba vibarua na kazi kwao...
Elimu ni nzur sana ila ukianza kujitamba kwa elimu yako utaonekana mpuuz fanya tu research matajir wa mtaan kwako kaulize elimu zao.
siku ukianza kutafuta pesa (UTAJIRI) sio pesa ya kula utakuja ujue kwann wenye elimu wanakuwa nyuma sana kwenye utafutaji pia unaweza ukahisi kama vile ulikuwa unapoteza muda kusoma mpaka university kumbe ni njia tu ya kuelekea kwenye utajiri nayo kwa namna nyingne.We puunga, Bahresa ana elimu gani? Nani anaendesha makampuni yake? Umeona elimu zao huko kwenye website yake yake? Acha bange bana
Kama chibu Hana master lkn mpunga vipi 😂siku ukianza kutafuta pesa (UTAJIRI) sio pesa ya kula utakuja ujue kwann wenye elimu wanakuwa nyuma sana kwenye utafutaji pia unaweza ukahisi kama vile ulikuwa unapoteza muda kusoma mpaka university kumbe ni njia tu ya kuelekea kwenye utajiri nayo kwa namna nyingne.
wakat npo tunduma baada ya kugraduate university nkatoka dsm kwenda tunduma kibiashara aisee ndio niliona elimu ukipata ata diploma tu inatosha sana hz degrees, masters cjui phd kama unataka kuwa lecturer is OK but kama unataka kuwa tajr bora uitafute baadae ukishakuwa kama wakna Vunjabei
Kuna watu humu kazi yenu kukatishana tamaa kumbe, we ushawai kweli kusafiri hata hapo Kenya!!!, umemkatisha tamaa mwenzio bure20m ndo uende Dubai au china?
au unataka kwenda kutembea?
simu aina gani? kama unanua smart phone za laki mbili 20 unanunua simu ngapi?
una duka atayari au ununue ndo uanze tembeza?
Binafsi naona tafuta biashara ingine hapa ya uhakika mtaji hata 15m
5m nenda Dubai katembee ujionee na ujifunze
15 M hata Kkoo kwa wauzaji wa jumla unaweza pata faida
Upo sahihi mkuu,pale kkoo kuna jamaa yangu anauza Simu kwa jumla.....ukifananisha na bei za rejareja huna haja ya kupanda ndege labda kwenda kutembea tu20m ndo uende Dubai au china?
au unataka kwenda kutembea?
simu aina gani? kama unanua smart phone za laki mbili 20 unanunua simu ngapi?
una duka atayari au ununue ndo uanze tembeza?
Binafsi naona tafuta biashara ingine hapa ya uhakika mtaji hata 15m
5m nenda Dubai katembee ujionee na ujifunze
15 M hata Kkoo kwa wauzaji wa jumla unaweza pata faida
kuna watu humu kazi yenu kukatishana tamaa kumbe, we ushawai kweli kusafiri hata hapo Kenya!!!, umemkatisha tamaa mwenzio bure
Ushauri muruuaWatanzania wengi ni watu wawivu mno
1. Nauli kwenda na kurudi: USD 1,200
2. Chakula kwa siku: USD 22
3. Hotel Single Room: USD 50
4. Nauli ya mizunguko town: USD 49
(Taxi+Metro+Daladala)
5. Mzigo wako unaotaka kununua: (Na
hii tukupe jibu?): Minimum USD3,500
Pole sana!!Ushauri sio lazima..
Kila mtu na mawazo yake..
Wewe kama unaona inawezekana unafanya
Ushauri wetu unauacha ..
Shida iko wapi?
Ilikua Zamani mkuuAisee wabongo tuna roho mbaya kinoma ila nnachojua huyo mwana ana mtaji mzuri sana wa kwenda china na kuja bongo akapata faida mzuri tu.
Mkuu ulifanikisha hii safari?Mabaharia wafanyabiashara nimepata mpunga kidogo kama 20m kwamara yakwanza nataka kwenda dubai au china kununua simu hasa smartphone
Nimekuja kwenu kuomba ushauri mliowahi kwenda china au dubai kununua simu au vifaa vyaumeme naomba munieleweshe
1-Gharama zandege kwenda nakurudi
2-Nisehemu ipi nzuri kununulia mzigo kati dubai na china
3 -Kusafiri kutoka dsm hadi china au dubai huwa inachukua mda gani navipi hoteli zakule zabei yakawaida kwamfanya biashara mdogo anayeanza gharama zake zikoje
4 -Utaratibu wakusafilisha mzigo ukoje
Natangiza shukuran kwakuwa naamini mtanipatia maelekezo yakutosha namtanikumbusha na hata niliyoyasahau kwakuwa mimi itakuwa mara ya kwanza kabisa kifupi sijui chochote pia msisahau kuhusu huo mtaji ambao nahitaji kwenda nao itatosha kuanzia au inakuwaje
Agiza mzigo ukufuate apa acha ushamba
weka namba yako hapa.Katika kuperuzi JF nikakutana na huu uzi nikaanza kuusoma na kupitia comments nikijua ni uzi mpya baadae nikagundua ni uzi wa zamani tangu mwaka 2019 na pia nikaona na comments zangu mwenyewe nilizowahi kucomments.
Kiukweli huu uzi ulijaa madini sana na inafaa tuufufue watu waendelee kutema madini.
Wakati ule huu uzi unajadiliwa nilikuwa niko Bongo na kwa sasa niko Dubai.
So kwa wale wanaohitaji kujua jambo lolote la kibiashara wanaweza wakanicheki nitakuwa tayari kuwapa guidance bila shida yoyote.
Gharama za malazi /kupanga Kama una plan za kukaa Dubai zaidi ya mwaka zipoje?Katika kuperuzi JF nikakutana na huu uzi nikaanza kuusoma na kupitia comments nikijua ni uzi mpya baadae nikagundua ni uzi wa zamani tangu mwaka 2019 na pia nikaona na comments zangu mwenyewe nilizowahi kucomments.
Kiukweli huu uzi ulijaa madini sana na inafaa tuufufue watu waendelee kutema madini.
Wakati ule huu uzi unajadiliwa nilikuwa niko Bongo na kwa sasa niko Dubai.
So kwa wale wanaohitaji kujua jambo lolote la kibiashara wanaweza wakanicheki nitakuwa tayari kuwapa guidance bila shida yoyote.