Nataka kwenda Makka kumpiga mawe Shetani!

Nataka kwenda Makka kumpiga mawe Shetani!

evidence? ebu nipe evidence nje ya ya hayo maandiko uliyosoma yanayothibitisha hajra alimpiga mawe shetani,na huyo shetani alikuwa anafanya nini hapo anapopigwa mawe,na je leo wewe ukitaka kumipiga mawe unamuona wapi? tuelekeze na sisi tumpige hayo mawe
Wewe unayo evidence ya kuwa Jesus alikuwepo? Si umesoma kwenye vitabu tu?

Hebu wacha kuuliza masuali ya kijinga tafadhali. Jadili kitu ambacho na wengine watapata faida
 
Mada hii si ya uchokozi wa kidini, la hasha.
Ni la kutaka kueleweshwa tu.
Kwa mantiki ya Hijja, mwisho wake saka hiyo ni kuzunguka lile jiwe la K'aaba.
Halafu baada ya hapo kuna kulipiga jiwe na mawe kwa imani ya kumpiga mawe shetani.

Hapo ndipo mimi nataka kwenda ,kumsulubu shetani kwa mawe.
Wenzangu waislamu hebu mnijulishe kama naweza kwenda Makka kwa tendo hilo tu, la kutalii na kumpiga mawe shetani.
Kama wewe siyo Muislam jiandae kukutana na hizi road sign. Sijui utafanyaje🤣🤣

images (9).jpeg
images (10).jpeg
images (12).jpeg
images (11).jpeg
 
Mada hii si ya uchokozi wa kidini, la hasha.
Ni la kutaka kueleweshwa tu.
Kwa mantiki ya Hijja, mwisho wake saka hiyo ni kuzunguka lile jiwe la K'aaba.
Halafu baada ya hapo kuna kulipiga jiwe na mawe kwa imani ya kumpiga mawe shetani.

Hapo ndipo mimi nataka kwenda ,kumsulubu shetani kwa mawe.
Wenzangu waislamu hebu mnijulishe kama naweza kwenda Makka kwa tendo hilo tu, la kutalii na kumpiga mawe shetani.
Shetani unaishi naye nafsini mwako, anza kujipiga!
 
Mada hii si ya uchokozi wa kidini, la hasha.
Ni la kutaka kueleweshwa tu.
Kwa mantiki ya Hijja, mwisho wake saka hiyo ni kuzunguka lile jiwe la K'aaba.
Halafu baada ya hapo kuna kulipiga jiwe na mawe kwa imani ya kumpiga mawe shetani.

Hapo ndipo mimi nataka kwenda ,kumsulubu shetani kwa mawe.
Wenzangu waislamu hebu mnijulishe kama naweza kwenda Makka kwa tendo hilo tu, la kutalii na kumpiga mawe shetani.
Hakikisha umempiga shetani hayo mawe hadi aombe pooh na atoe ahadi ya kutorudi kusumbua watu.Mkung'ute haswaa!
 
Wewe unayo evidence ya kuwa Jesus alikuwepo? Si umesoma kwenye vitabu tu?

Hebu wacha kuuliza masuali ya kijinga tafadhali. Jadili kitu ambacho na wengine watapata faida
Mada hii haswa ni kujdili na kuelewa.
Hapa kweli tunapata experience ya kufika Makka na yale wenzet wanapitia kumtukuza Mungu.
Mimi pamoja na utalii, nilikuwa nataka kumrushia dongo shetani.
 
Mada hii si ya uchokozi wa kidini, la hasha.
Ni la kutaka kueleweshwa tu.
Kwa mantiki ya Hijja, mwisho wake sala hiyo ni kuzunguka lile jiwe la K'aaba.
Halafu baada ya hapo kuna kulipiga jiwe na mawe kwa imani ya kumpiga mawe shetani.

Hapo ndipo mimi nataka kwenda ,kumsulubu shetani kwa mawe.
Wenzangu waislamu hebu mnijulishe kama naweza kwenda Makka kwa tendo hilo tu, la kutalii na kumpiga mawe shetani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utani wa ngumi huu
 
Kwa mawe yale anayopigwa kila mwaka shetani lazima huko aliko atakuwa hoi bin taabani kama kweli yanamkuta.maana shetani roho sio binadamu ni sawa na kusema unampiga mawe jini
 
Mada hii si ya uchokozi wa kidini, la hasha.
Ni la kutaka kueleweshwa tu.
Kwa mantiki ya Hijja, mwisho wake sala hiyo ni kuzunguka lile jiwe la K'aaba.
Halafu baada ya hapo kuna kulipiga jiwe na mawe kwa imani ya kumpiga mawe shetani.

Hapo ndipo mimi nataka kwenda ,kumsulubu shetani kwa mawe.
Wenzangu waislamu hebu mnijulishe kama naweza kwenda Makka kwa tendo hilo tu, la kutalii na kumpiga mawe shetani.

Usisahau kombeo
 
Kwenye jezi ya Yanga kuna eneo la kurusha mawe. Tumia jezi hiyo kumpiga mawe shetani, kule waarabu watakunyofoa mbupu
 
Mada hii haswa ni kujdili na kuelewa.
Hapa kweli tunapata experience ya kufika Makka na yale wenzet wanapitia kumtukuza Mungu.
Mimi pamoja na utalii, nilikuwa nataka kumrushia dongo shetani.
Bahati mbaya non muslims hawaruhusiwi kwenye baadhi ya maeneo
 
Kwa mawe yale anayopigwa kila mwaka shetani lazima huko aliko atakuwa hoi bin taabani kama kweli yanamkuta.maana shetani roho sio binadamu ni sawa na kusema unampiga mawe jini
Ile ni symbol tu hakuna shetani anayepigwa jiwe jamani
 
Msikiti wa makka msingi wake ulijengwa na nabii Ibrahim akiwa na mwanawe Isumail kwa amri ya mwenyezi Mungu kuwa wajenge Nyumba ya ibada pale

Hivyo waislam wanapokwenda kuiji Makka pia wanafanya vitendo kama kumbukumbu ambayo vilifanywa na nabii Ibrahim , Isumail na Hajiri pia

1) kuna kutembea kati ya vilima viwili swafa na Malwa kukumbuka Hajiri alipokuwa anaenda na kurudi kumtafutia maji mwanawe ili asife na kiu

2) Kuna kuchinja ni kama kumbumbu kuwa nabii Ibrahim alichinja kondoo aliyetwa na malaika baada ya kutaka kutimiza ahadi yake ya kumchinja mwanawe

3) Kumpiga mawe shetani ni kama kumbukumbu wakati shetani alipokuwa anata Hajiri ajue mpango wa Ibrahim wa kumchinja mtoto Hajira akawa anamfukuza shetini kwa kumrushia mawe

4) Kuna kisima cha maji ya zamzam kilichotokana na chemchem ili kufanya mtoto Isumail apate maji ya kunywa

na hii hija ni ahadi ambayo Mungu alimuahidi nabii Ibrahim
Katika kitabu cha mwazo Ibrahim alimsikitikia Mungu kuwa naenda zangu sina mtoto atakae kuwa mrithi wangu ni huyu mjakazi wangu

Mungu akamwambia huyo hatakurithi atakae kurithi atatoka katika viuno vyako

kaa ukijua kuwa Muislam ni raha sana yani kila kitu kina Full evidence

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Umesahau kuwa ni msimu wa kuwalisha wale jamaa wasioonekana wenye asili ya uarabuni wale ambao " ..... sikuwaumba ninyi........na .....ila kuniabudu" wale hunjwa damu za mifugo kama ngamia , kondoo, mbuzi na ngombe, ndio chakula chao, hata wahanga wanaoyafuga kwa kuagua watu, wateja wao huambiwa kupeleka mifugo ili damu zao wanywe, hata matambiko ya kimila kwa mizimu iliyokufa kafara ya damu kwa kipindi fulani msipo chinja wanafumuka. Je! Mungu wa mbingu muumba viumbe wote angeweza kuwaumba wanyama kwa utukufu wake halafu ategemee tena binadamu ampe damu ya mnyama aliyemuumba mwenyewe?🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
 
Back
Top Bottom