Nataka kwenda Makka kumpiga mawe Shetani!

Nataka kwenda Makka kumpiga mawe Shetani!

maana shetani roho sio binadamu ni sawa na kusema unampiga mawe jini
Hivi wewe mwenyewe unakielewa ulichoandika? Hebu soma tena mwenyewe halafu ujicheke.

Nini tofauti ya jini na roho?
 
Sasa shetani si ni wewe mwenyewe hapo unaenda kumpiga nani huko Macca au wewe ndio unajipeleka ukapigwe mawe?!

Usisahau, shetani wa mtu ni yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom