Kinyungu JF-Expert Member Joined Apr 6, 2008 Posts 19,484 Reaction score 38,416 Jul 31, 2022 #41 YEHODAYA said: maana shetani roho sio binadamu ni sawa na kusema unampiga mawe jini Click to expand... Hivi wewe mwenyewe unakielewa ulichoandika? Hebu soma tena mwenyewe halafu ujicheke. Nini tofauti ya jini na roho?
YEHODAYA said: maana shetani roho sio binadamu ni sawa na kusema unampiga mawe jini Click to expand... Hivi wewe mwenyewe unakielewa ulichoandika? Hebu soma tena mwenyewe halafu ujicheke. Nini tofauti ya jini na roho?
B bitimkongwe JF-Expert Member Joined Oct 21, 2009 Posts 7,794 Reaction score 7,551 Jul 31, 2022 #42 Jidu La Mabambasi said: This is sad! I am sure Saudia inavyizidi kufunguka watabadili hili. Ibrahim na Isaka hawakuwa na dini bali walimtukuza Mungu. Click to expand... Mimi sioni sababu kwa nini watu wengine hawaruhusiwi. Labda katika kipindi cha hijja tu.
Jidu La Mabambasi said: This is sad! I am sure Saudia inavyizidi kufunguka watabadili hili. Ibrahim na Isaka hawakuwa na dini bali walimtukuza Mungu. Click to expand... Mimi sioni sababu kwa nini watu wengine hawaruhusiwi. Labda katika kipindi cha hijja tu.
Samcezar JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 13,095 Reaction score 22,731 Jul 31, 2022 #43 Sasa shetani si ni wewe mwenyewe hapo unaenda kumpiga nani huko Macca au wewe ndio unajipeleka ukapigwe mawe?! Usisahau, shetani wa mtu ni yeye mwenyewe.
Sasa shetani si ni wewe mwenyewe hapo unaenda kumpiga nani huko Macca au wewe ndio unajipeleka ukapigwe mawe?! Usisahau, shetani wa mtu ni yeye mwenyewe.
Jidu La Mabambasi JF-Expert Member Joined Oct 20, 2014 Posts 16,419 Reaction score 26,594 Jul 31, 2022 Thread starter #44 Samcezar said: Sasa shetani si ni wewe mwenyewe hapo unaenda kumpiga nani huko Macca au wewe ndio unajipeleka ukapigwe mawe?! Usisahau, shetani wa mtu ni yeye mwenyewe. Click to expand... Sasa bwashee unataka nijipige mawe?
Samcezar said: Sasa shetani si ni wewe mwenyewe hapo unaenda kumpiga nani huko Macca au wewe ndio unajipeleka ukapigwe mawe?! Usisahau, shetani wa mtu ni yeye mwenyewe. Click to expand... Sasa bwashee unataka nijipige mawe?