Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
Habari zenu wanajukwaa,nna mpango wa kwenda Mauritius kusaka life, naomba wenyeji wa huko mnipe habari mbali mbali zinazohusiana na nchi hiyo hasa katika masuala ya uchumi- ajira na biashara na mambo mengineyo.
hii bongo ni ngum sana ata uwe na elimu gan bdo shida tu.
karibuni wenyeji
hii bongo ni ngum sana ata uwe na elimu gan bdo shida tu.
karibuni wenyeji