Nataka kwenda Shinyanga kutafuta mke

Nataka kwenda Shinyanga kutafuta mke

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Wakuu, nimekuwa na wazo la kwenda Shinyanga kutafuta pisi moja ambayo nitatulia nayo tuanzishe familia.

Unaweza kuniuliza why Shinyanga? Kipindi kile Haji Manara alipomuibua Rushayna, baada ya kugombana naye nakumbuka alisema alimuibua huko Shinyanga. Rushayna ni pisi kwa kweli, naikubali sana. Nadhani watakuwepo wanawake wa kutosha wa dizaini yake kule.

Mnanishauri nini katika zoezi langu hili?

Nikienda huko nijichanganye wapi, mtoni wakati wameenda kuchota maji? Sokoni? Kanisani? Vyuoni? Au nikajitambulishe kwa mwenyekiti wa kijiji kuwa nimekuja kutafuta mke?

Pia nikienda sehemu ngeni kama hiyo inaweza kunichukua muda gani hadi nitakapokutana na mlengwa?

Ukiacha Shinyanga, ni mkoa gani mwingine unaweza kwenda ukapata mwanamke aliyetulia?
 
Wakuu, nimekuwa na wazo la kwenda Shinyanga kutafuta pisi moja ambayo nitatulia nayo tuanzishe familia.

Unaweza kuniuliza why Shinyanga? Kipindi kile Haji Manara alipomuibua Rushayna, baada ya kugombana naye nakumbuka alisema alimuibua huko Shinyanga. Rushayna ni pisi kwa kweli, naikubali sana. Nadhani watauwepo wanawake wa kutosha wa dizaini yake kule.

Mnanishauri nini katika zoezi langu hili?

Nikienda huko nijichanganye wapi, mtoni wakati wameenda kuchota maji? Sokoni? Kanisani? Vyuoni? Au nikajitambulishe kwa mwenyekiti wa kijiji kuwa nimekuja kutafuta mke? Nikae muda gani?

Ukiacha Shinyanga, ni mkoa gani mwingine unaweza kwenda ukapata mwanamke aliyetulia?
kuna pisi yangu mkuu huko daah xubiri usiende kwanza
 
Back
Top Bottom