Nataka kwenda Shinyanga kutafuta mke

Nataka kwenda Shinyanga kutafuta mke

Papa za baridi hazina joto
Papa zimesuguliwa na baiskel mpaka zimekosa ladha.
Pili msukuma hata kama kaolewa hajui kusema NO
Nafikiri wanaweza shika namba 1 kwa umalaya. huko shinyanga kuna madanguro mpaka vijijini watu wa ajabu Sana hao..
Jamii zinakaa na madanguro pamoja na haioni tabu nilikaa kule tabora na shinyanga nimestaajabu Sana hilo kabila
 
Ukikuta demu wa kisukuma mwenye miaka 18-23 hana mtoto. njoo nikupe mke wangu ule mzigo mbele yangu 🤣🤣🤣🤣 wengi ni singo maza
Wanazalishwa mapema sana wanaitwa sijui wasimbe
 
Walishafikiwa na elon mask....

1737933078822.png
 
Wakuu, nimekuwa na wazo la kwenda Shinyanga kutafuta pisi moja ambayo nitatulia nayo tuanzishe familia.

Unaweza kuniuliza why Shinyanga? Kipindi kile Haji Manara alipomuibua Rushayna, baada ya kugombana naye nakumbuka alisema alimuibua huko Shinyanga. Rushayna ni pisi kwa kweli, naikubali sana. Nadhani watakuwepo wanawake wa kutosha wa dizaini yake kule.

Mnanishauri nini katika zoezi langu hili?

Nikienda huko nijichanganye wapi, mtoni wakati wameenda kuchota maji? Sokoni? Kanisani? Vyuoni? Au nikajitambulishe kwa mwenyekiti wa kijiji kuwa nimekuja kutafuta mke?

Pia nikienda sehemu ngeni kama hiyo inaweza kunichukua muda gani hadi nitakapokutana na mlengwa?

Ukiacha Shinyanga, ni mkoa gani mwingine unaweza kwenda ukapata mwanamke aliyetulia?
Unataka aliyetulia kama Rushaina siyo?

Nakushauri tafuta popote utakapokutana na anayekuridhisha uoe.

Kusema sijui Queen Masanja katokea wapi na wewe ndiyo uende huko ukidhania labda wapo wote wa hivyo utapotea.

Majina ya Mikoa ni ya kisiasa, lakini kiuhalisia raia walishachanganyika sana kwa kuingiliana, hawana mipaka ya kikabila na hawana mipaka ya kuingiliana kwa kuzaliana.

Hata huyo unayemshobokea wewe ewezakuwa alizaliwa Shinyanga na wazazi wahamiaji toka mkoa mwingine au wakawa mchanganyiko wa makabila mawili tofauti, yote hayo yanawezekana.
 
Wewe huwajui wanawake wa Shinyanga wewe

Unataka aliyetulia kama Rushaina siyo?

Nakushauri tafuta popote utakapokutana na anayekuridhisha uoe.

Kusema sijui Queen Masanja katokea wapi na wewe ndiyo uende huko ukidhania labda wapo wote wa hivyo utapotea.

Majina ya Mikoa ni ya kisiasa, lakini kiuhalisia raia walishachanganyika sana kwa kuingiliana, hawana mipaka ya kikabila na hawana mipaka ya kuingiliana kwa kuzaliana.

Hata huyo unayemshobokea wewe ewezakuwa alizaliwa Shinyanga na wazazi wahamiaji toka mkoa mwingine au wakawa mchanganyiko wa makabila mawili tofauti, yote hayo yanawezekana.
Wakuu hamtaki nipate Rushayna toleo jipya?
 
Back
Top Bottom