Nataka kwenda Shinyanga kutafuta mke

Nenda Tinde pale kuna Pisi kali sana mixer waarabu na msukuma.
 
Nenda Lushoto, Tanga.
 
kule hakika ww tafta hta wiki mbili hivi katulie , ila iwe rahisi zaidi ww kuwapata hakikisha unaenda hta kanisani , maana mabinti wa kisukuma ni ngumu sana kutoka nyumbani, na hta wakitoka ni ngumu kuongea na mtu mgeni mtaani, kule bint analindwa na mtaa mzima hvyo anaweza onekana anasimama na ww tu , taarifa zikafka nyumban akafuatwa huko aliko kwa stick, so ww tafta wenyeji ufikie hapo yy ndo atakuwa anakusaidia kukupa direction, nenda minadani utakutana nao, ila ujiandae mahali zao zimechangamka kuanzia milion tatu hv, na ukimuoa huyo ndo basi ushakabidhiwa, ni wasikivu sana na wanaweza kutengeneza familia na ni kweli ni wazuri na wanavutia sana
 
Wanalindwa ? [emoji23][emoji23] Labda sio bariad na Busega na meatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…