Serious na wewe unatakwenda?Kaka ukipata taarifa sahihi za safari tafadhali unijulishe,twende kwa umoja wetu kukomboa Ukraine.... Sisi wa Tanzania tuna historia ya ukombozi
kabisaaaa... kwa moyo mkunjufuSerious na wewe unatakwenda?
Siku shauri aiseee, please [emoji120][emoji1787]kabisaaaa... kwa moyo mkunjufu
Hii picha imenivuruga ubongo kabisa au nasema uongo ndugu zangu.Hatua ya kwanzaβ¦.
View attachment 2131841
Siku shauri aiseee, please [emoji120][emoji1787]
Kwa sababu tunakupenda, kwenye vita bwana hakuna huruma wala hakuna macho, kwenye vita si rafiki sana kwa Mwanamke , usiende please.Kwa nini unanikatisha tamaa mkuu?
Wachambuzi wa maswala ya vita wamekuwa wengi sana
Miezi michache iliyopita, wachambuzi hawa walikuwa ni wabobezi katika sayansi ya utengenezaji wa chanjo πWachambuzi wa maswala ya vita wamekuwa wengi sana
Wachujwe
Wanachambua utafikiri wapo Ukraine ( kwenye kiwanja cha mapambano) πππwanajua mambo kuliko Russia na Ukraine wenyeweMiezi michache iliyopita, wachambuzi hawa walikuwa ni wabobezi katika sayansi ya utengenezaji wa chanjo π
View attachment 2132837
Vikwazo haviwezi kudunda.. Putin will suffer the Consequences..Zelensky anaomba mazungumzo baada ya vikwazo kudunda
Watu kazi inaendelea acha watu waabudu kwanza blue monday ijeVikwazo haviwezi kudunda.. Putin will suffer the Consequences..
Miezi michache iliyopita, wachambuzi hawa walikuwa ni wabobezi katika sayansi ya utengenezaji wa chanjo [emoji38]
View attachment 2132837