Nataka kwenda vitani kujitolea kuisadia Ukraine πŸ‡ΊπŸ‡¦, je nifuate utaratibu gani?

Hata Nyerere mwenyewe alitumia muda mrefu sana kutafakari kabla hajatoa Tamko la vita vya Kagera. Ss wahenga walisema msemo huu" Kunguru mwoga hukimbiza bawa lake" na wengine wakasema "Kwa mwoga huenda kicheko bali kwa shujaa kilio"
 
Hata Nyerere mwenyewe alitumia muda mrefu sana kutafakari kabla hajatoa Tamko la vita vya Kagera. Ss wahenga walisema msemo huu" Kunguru mwoga hukimbiza bawa lake" na wengine wakasema "Kwa mwoga huenda kicheko bali kwa shujaa kilio"
Aiseee huko ni pakwenda kupambana tu,maana kaanza kuua wanawake na watoto wasio na hatia.
 
Kule mtu mweusi ni nyani tu

Acha kujihangaisha

Kule sio ulaya wala sio U.S.

Kule watakupa ndizi
 
Znz wachukue notes JMT haiwezi kubali wajiengue afu wajiunge na watu wenye mrengo tofauti na JMT kitachofuata ni kichapo tu. Hatuombei bloodbath ila kichapo kitatembea pamoja na vikwazo.
 
Kwanza nenda Njombe ukashinde kutwa na vest
 
Kikolo mi najua wewe ni team kiduku,putin or any one who is against the us,sasa imekuwaje tena?!
 
Tuna mshono
 
Tumeshindwa kwenda kumwagia jua maji Huko Ukraine utaweza kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…