Kirumberumbe
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 982
- 1,167
Hata Nyerere mwenyewe alitumia muda mrefu sana kutafakari kabla hajatoa Tamko la vita vya Kagera. Ss wahenga walisema msemo huu" Kunguru mwoga hukimbiza bawa lake" na wengine wakasema "Kwa mwoga huenda kicheko bali kwa shujaa kilio"Sasa nyie wa kaka wa Tanzania tukivamiwa itakuaje jamani?mbona mna mioyo ya uoga hivi? vitani unavyoenda matokeo ni mawili.kufa ama kupona. . Ila ukiwa na spirit ya mapambano unaaamini utashinda na utarudi salama.. .. Hebu twendeni jamani Tanzania ni vijukuu vya Nyerere mkomboziπππ
Aiseee huko ni pakwenda kupambana tu,maana kaanza kuua wanawake na watoto wasio na hatia.Hata Nyerere mwenyewe alitumia muda mrefu sana kutafakari kabla hajatoa Tamko la vita vya Kagera. Ss wahenga walisema msemo huu" Kunguru mwoga hukimbiza bawa lake" na wengine wakasema "Kwa mwoga huenda kicheko bali kwa shujaa kilio"
Kule mtu mweusi ni nyani tuNikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia π·πΊ nchini Ukraine πΊπ¦.
Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine πΊπ¦ aliyoiingia kimabavu.
Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine πΊπ¦.
Natanguliza shukrani za dhati.
Eti watu wanamfurahia kabisa dhalimu yulePutin ni Adolf Hitler wa kizazi chetu. Amin kwamba.
Na risasi zakeKule watakupa ndizi
Kufanya kosa gani?Putin ni Adolf Hitler wa kizazi chetu. Amin kwamba.
You are misinformedEti watu wanamfurahia kabisa dhalimu yule
Al Jazeera je?You are misinformed
Stop watching too much CNN & bbc
Unajua kwa nini AlJazeera ilifungiwa isionekane saudi arabiaAl Jazeera je?
Vyombo vya habari vya kipropagandaYou are misinformed
Stop watching too much CNN & bbc
Kwanza nenda Njombe ukashinde kutwa na vestNikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia [emoji635] nchini Ukraine [emoji1255].
Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine [emoji1255] aliyoiingia kimabavu.
Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine [emoji1255].
Natanguliza shukrani za dhati.
Tuna mshonoSasa nyie wa kaka wa Tanzania tukivamiwa itakuaje jamani?mbona mna mioyo ya uoga hivi? vitani unavyoenda matokeo ni mawili.kufa ama kupona. . Ila ukiwa na spirit ya mapambano unaaamini utashinda na utarudi salama.. .. Hebu twendeni jamani Tanzania ni vijukuu vya Nyerere mkombozi[emoji23][emoji23][emoji23]
πππππwengine watasema wana vidonda vya tumboTuna mshono
Tumeshindwa kwenda kumwagia jua maji Huko Ukraine utaweza kweli.Nikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia π·πΊ nchini Ukraine πΊπ¦.
Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine πΊπ¦ aliyoiingia kimabavu.
Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine πΊπ¦.
Natanguliza shukrani za dhati.
Nimecheka sana aisee.....Tumeshindwa kwenda kumwagia jua maji Huko Ukraine utaweza kweli.