Niko town kitambo tuuMzee wa Copenhagen, umerudi lini mjini?
Hili vumbi la buguruni mzee hutaliweza hakyanani π€£π€£π€£, rudi ukapige box huko tu.Niko town kitambo tuu
Naona unavizia nafasi ya Katibu...lolMzuka Wanajamvi!
Kanisa la Free Church liko wapi Dar na mtaa gani? Nataka kwenda kusali hapo leo. Ratiba ya ibada ikoje?
Msaada kwa yotote anayejua.
Naona unavizia nafasi ya Katibu...lo usije ukamvizia Monica?
Aaaaaaaah we Mzee so siku hizi mkija hamtaki chawa wa kuzurura nao mjiniπππππNiko town kitambo tuu
Ulipotea wapi weweeAaaaaaaah we Mzee so siku hizi mkija hamtaki chawa wa kuzurura nao mjiniπππππ
Mzuka Wanajamvi!
Kanisa la Free Church liko wapi Dar na mtaa gani? Nataka kwenda kusali hapo leo. Ratiba ya ibada ikoje?
Msaada kwa yotote anayejua.
Nipo humu nimejaa tele Mzee wanguUlipotea wapi wewee
Aise....wwaumini wamechoka kama mimi...kama wamewehuka hivi?Emmanuel Mgaya aka MasanjaMkandamizaji
Leo katupostia ujumbe kwa Instagram yake #MasanjaMkandamizaj
View attachment 2381256
unatak kwend kusali au kuonana na mama mchungajiMzuka Wanajamvi!
Kanisa la Free Church liko wapi Dar na mtaa gani? Nataka kwenda kusali hapo leo. Ratiba ya ibada ikoje?
Msaada kwa yotote anayejua.
Aise....wwaumini wamechoka kama mimi...kama wamewehuka hivi?
Afu hajajaaliwa sauti ya kiinjilistiEmmanuel Mgaya aka MasanjaMkandamizaji
Leo katupostia ujumbe kwa Instagram yake #MasanjaMkandamizaj
View attachment 2381256