Nataka leo kwenda kusali free church

Mzuka Wanajamvi!

Kanisa la Free Church liko wapi Dar na mtaa gani? Nataka kwenda kusali hapo leo. Ratiba ya ibada ikoje?

Msaada kwa yotote anayejua.
Nenda kasali si kuchora watu kanisani!..
 
Kinondoni karibu na ubalozi wa ufaransa, ukifika hapo uliza bobaboda atakupeleka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…