kinachosababisha meno kuwa manjano
1.kuzidi kwa floride ktk maji
2. floride iliyopo katika dawa za meno
3. ukipata ambazo hazina floride lazima zikusaidie. kwa dentisit sikushaur coz wanagrand jino then wanalipiga rangi kuna chemical ya aina flan. lkn nasikia baada ya mda unapata madhara ya meno. tumia aloebright toothgel ndio niliotumia mm. haina chemicala bali ina madini yanayotokana na asali ya nyuki wadogo na mmea aina bardensis miller . nilitumia 3 @ 13000/= na nimepona na matatizo yote ya kinywa. kama utahitaji cheki na uyu mdau. 0713297066/0765377506 nilimsave dawa ya meno.
Piga mswaki kwa kuumia mzizi wa mti unaoitwa "mdawa" Unatakiwa kutumia mzizi fresh ambao haujakauka. Kwa hiyo itabidi ama ulime kishamba cha miti hiyo nyuma ya nyumba yako au ung'oe mzizi mingi uiweke kweye friji kusudi uwe unatumia moja kila siku.
njia ya kitaalamu Ni kumeona daktari wa meno. Ila kuna njia mbadala na nafuu.. Tukua kijiko kimoja cha bicarbonate au baking soda (ile wamayotumia kutengenezea maandazi) inauzwa 500 kama sijakosea kwa kipact kimoja. Changanya kijiko cha baking powder na ndimu au limao na ukoroge mpka iwe nzito kama dawa ya meno. Baada ya hapo tumia mswali mpya anza kusugua meno kwa iyo solution ulioitengeneza.
kwa majibu sahihi, tumia njia hii mara moja kwa week. Ukifanikiwa lets majibu hapa. Mimi ni mnufaikaji ya hii njia
kama upo dar nenda k/koo kwenye yale maduka ya dawa za asili utapata huo mdaa ila ni vema km ni mwanaume utumie jion ili ukiamka ukute hyo rangi imetoka mdomoniSie tunauita mdaa,huo mzizi ni mzuri sana,mdau angekua karibu ningempatia manake ninao na umeyafanya meno yangu meupe kwa kweli,