Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Piga mswaki kwa kuumia mzizi wa mti unaoitwa "mdawa" Unatakiwa kutumia mzizi fresh ambao haujakauka. Kwa hiyo itabidi ama ulime kishamba cha miti hiyo nyuma ya nyumba yako au ung'oe mzizi mingi uiweke kweye friji kusudi uwe unatumia moja kila siku.