Nataka meno yangu yang'ae, msaada

Nataka meno yangu yang'ae, msaada

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
meno yangu ni ya njano napiga mswaki hata mara tatu but per day but bado. Naweza kufanyaje ili yang'ae au kuna njia gani za kiswaili nifanye
 
Mkuu sitaki kuamini hii thread umeandika wewe, au kuna mtu anatumia jina lako?
 
toa msaada mkuu kushangaa baadae
 
naipataje hiyo
 
Mfano huu hapa
 

Attachments

  • 1391953392147.jpg
    1391953392147.jpg
    67 KB · Views: 532
meno yangu ni ya njano napiga mswaki hata mara tatu but per day but bado. Naweza kufanyaje ili yang'ae au kuna njia gani za kiswaili nifanye

Waone dentist wanasafisha meno,kuna smile dentist wapo peugeot house,pia kuna ambao wapo oppsite Akbar studio kule round about ya DTV..
 
meno yangu ni ya njano napiga mswaki hata mara tatu but per day but bado. Naweza kufanyaje ili yang'ae au kuna njia gani za kiswaili nifanye

njia ya kitaalamu Ni kumeona daktari wa meno. Ila kuna njia mbadala na nafuu.. Tukua kijiko kimoja cha bicarbonate au baking soda (ile wamayotumia kutengenezea maandazi) inauzwa 500 kama sijakosea kwa kipact kimoja. Changanya kijiko cha baking powder na ndimu au limao na ukoroge mpka iwe nzito kama dawa ya meno. Baada ya hapo tumia mswali mpya anza kusugua meno kwa iyo solution ulioitengeneza.

kwa majibu sahihi, tumia njia hii mara moja kwa week. Ukifanikiwa lets majibu hapa. Mimi ni mnufaikaji ya hii njia
 
Nenda Muhimbili pale kitengo cha meno wanaweza kukusaidi juu ya hilo tatizo lako mkuu
 
njia ya kitaalamu Ni kumeona daktari wa meno. Ila kuna njia mbadala na nafuu.. Tukua kijiko kimoja cha bicarbonate au baking soda (ile wamayotumia kutengenezea maandazi) inauzwa 500 kama sijakosea kwa kipact kimoja. Changanya kijiko cha baking powder na ndimu au limao na ukoroge mpka iwe nzito kama dawa ya meno. Baada ya hapo tumia mswali mpya anza kusugua meno kwa iyo solution ulioitengeneza.

kwa majibu sahihi, tumia njia hii mara moja kwa week. Ukifanikiwa lets majibu hapa. Mimi ni mnufaikaji ya hii njia

Tunaweza tumia ndimu ya unga?
 
meno yangu ni ya njano napiga mswaki hata mara tatu but per day but bado. Naweza kufanyaje ili yang'ae au kuna njia gani za kiswaili nifanye

kinachosababisha meno kuwa manjano
1.kuzidi kwa floride ktk maji
2. floride iliyopo katika dawa za meno
3. ukipata ambazo hazina floride lazima zikusaidie. kwa dentisit sikushaur coz wanagrand jino then wanalipiga rangi kuna chemical ya aina flan. lkn nasikia baada ya mda unapata madhara ya meno. tumia aloebright toothgel ndio niliotumia mm. haina chemicala bali ina madini yanayotokana na asali ya nyuki wadogo na mmea aina bardensis miller . nilitumia 3 @ 13000/= na nimepona na matatizo yote ya kinywa. kama utahitaji cheki na uyu mdau. 0713297066/0765377506 nilimsave dawa ya meno.
 
Back
Top Bottom