Nataka mwanaume anayefanya kazi

Jaman nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mm mweupe awe Mkristo maana mm pia mkristo napenda sana kusali.
We jinsia gani? Umesema tu unataka mwanaume ila hujasema jinsia gani na huyu mwanaume unataka ukamfanyie nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…