beauty oo1
Member
- Sep 3, 2022
- 8
- 34
We jinsia gani? Umesema tu unataka mwanaume ila hujasema jinsia gani na huyu mwanaume unataka ukamfanyie nini?Jaman nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mm mweupe awe Mkristo maana mm pia mkristo napenda sana kusali.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dah! kigezo cha asiwe mwalimu kimenikosesha mwanamke.
Hivi kumbe kuwa mwalimu ni shida kiasi hiki!!
π€£π€£π€£Funga uzi.
Nicheki PM.
Pls wengine msicomment mpite.
Assnte Mungu
Ambacho nimekupanga jana umekipuuzia sioJaman nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mm mweupe awe Mkristo maana mm pia mkristo napenda sana kusali.
πππDah! kigezo cha asiwe mwalimu kimenikosesha mwanamke.
Hivi kumbe kuwa mwalimu ni shida kiasi hiki!!
Haya kila la heri....ila vigezo vikipungua usisahau kufungua uzi mwingineJaman nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mm mweupe awe Mkristo maana mm pia mkristo napenda sana kusali.
Kuwa makini mkuu. Mwanaume wake wa mwanzo anafanyia watu fujo. Mcheki mandonga akufundishe ngumi kabla hujaanza naye mahusiano.Funga uzi.
Nicheki PM.
Pls wengine msicomment mpite.
Assnte Mungu
Chagua chagua sana mwisho utapata kiwavi. Kitambi kinakuudhi nini?Jaman nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mm mweupe awe Mkristo maana mm pia mkristo napenda sana kusali.
Jina linasadifu beauty atatakaje kitambi jamn π€£Chagua chagua sana mwisho utapata kiwavi. Kitambi kinakuudhi nini?
Umekaa kimyaAmbacho nimekupanga jana umekipuuzia sio
MwanamkeWe jinsia gani? Umesema tu unataka mwanaume ila hujasema jinsia gani na huyu mwanaume unataka ukamfanyie nini?