Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Mbona anaefanya kazi Serikalini tu? Hujui kuna tunaofanya kazi sekta binafsi tuna mtonyo mrefu mara nne ya hao wa Serikalini na tunasali sana?
Umekuja na uku umenishindaaaa tabia eti kilometer zimesoma hahahaUnataka anayefanya serikalini tu? Sema kama unataka kupata bima ya NHIF!! Tuanze sasa kilmoter zimesoma sana kwanza
wamewasumbua sana enzi wanasoma,so wanahisi hata wakiowana wataendelea kusumbua viwanafunzi[emoji1][emoji1]Walimu wa kiume mmewakosea nn kinadada[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Chagua chagua sana mwisho utapata kiwavi. Kitambi kinakuudhi nini?
Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
Khaaa !! 😃😃😃Mwalimu mimi hapa nina helaaaaaa na maisha mazuri tu.Mie nakula,nakunywa na kuvaa nitakavyo.Ni raha tu kwangu
Hapo itabidi umuombe Mungu akupe kibali cha kutengeneza wako🤣🤣🤣Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
Upo mkoa gani mrembo?Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
Funga uzi.
Nicheki PM.
Pls wengine msicomment mpite.
Assnte Mungu
Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
😂😂😂Aiseewamewasumbua sana enzi wanasoma,so wanahisi hata wakiowana wataendelea kusumbua viwanafunzi[emoji1][emoji1]
KumbeMko kimaslahi hakuna cha mapenzi wala nini
Chura ipo?Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.