Mwanaume unataka ukamfanyie nini?Mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume unataka ukamfanyie nini?Mwanamke
Ehh mmetoa connection yenu embu nitumieni nione style mpya mlizotumia humo😎😎Weee ile gari umeitoa wapi na kazi hunaa ??? Ongea na bossi kubwa Mjep akupe connection acha kushamala tu hapo .🤭🤭.. in nshomiles voice!!
Wee si unataka kazi achana na styles za bossi wako utallaaniwa nyau wewe!!Ehh mmetoa connection yenu embu nitumieni nione style mpya mlizotumia humo😎😎
hahah... mjomba umemshukuru na Mungu kabisa, yani kama uhakikaFunga uzi.
Nicheki PM.
Pls wengine msicomment mpite.
Asante Mungu
KbsUmekuja na uku umenishindaaaa tabia eti kilometer zimesoma hahaha
MrefuJamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
Hajui hilo amekaririshwa serekalini tuMbona anaefanya kazi Serikalini tu? Hujui kuna tunaofanya kazi sekta binafsi tuna mtonyo mrefu mara nne ya hao wa Serikalini na tunasali sana?
Nione in box nikuunganishe na kaka yangu ila ni mkubwa kidogo miaka 37! ni Daktari paleee Manisapaa ya Temeke Hospital!Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
Mwalimu kanjanja vipi hali😆😆Walimu tuna Hali ngumu.
#Kwenda zako na mavigezo yako