Nataka mwanaume anayefanya kazi

Nataka mwanaume anayefanya kazi

Subr wakudanganye utakaye kuja kumpata ni hawa ambazo sifa zao umezikataa asa hv
 
Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kku

Njoo kwangu Mimi Ni mwalimu na Nina maisha tuu Nina nyumba za kutosha magari na miradi,,karibu najua shida yako Ni kupata fursa
 
Asiwe mwlimu?. Unatafuta mine au kitega uchumi
 
Chura chura chura yupo...??..........ujasema kama Una mtoto au huna??
 
maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
Usipende tu kusali, penda zaidi kuwa MTIIFU kwa MUNGU, ukizishika Amri zake zote na maagizo yake.
By the way, kila la heri katika harakati zako za kutafuta "Mwanaume" na siyo "Mume".
 
Back
Top Bottom