Nataka na nina Nia ya Kuwa Tajiri Nipeni Mawaidha yenu!

The mason,
Nafikiri kwa umri uliofikia endelea kupambana ukifika miaka 25 nitakuunganisha na jumuiya ya siri na utapata mafanikio makubwa mno bila masharti ya kumwaga damu ya mtu.
Mkuu after 2.5 years nafikisha miaka 25 hio
 
Good idea Bado KUSALI SANA
 
Mmh kama kufanya Kazi sana ndo kuwa tajiri basi wakulima wengi wangekuwa matajiri ila si ndo babu na bibi mliowakimbia Shamba huko!

Utajiri ni siri ya alionao!
Mkuu hapa umemalizaa[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
moja usikae ukaa amini nguvu za giza kwanza naona ni story na kupotosha jamii na hiii imetawala kwetu africa tu. na ukitaka kuwa tajiri penda kuwa mchunguzi na fata kitu kilicho moyoni. nikisema mchunguzi nina maana uwe mwepesi kujua fursa za pesa na usisaha FANYA PESA IKUTUMIKIE SO JIFUNZE KU INVEST
 
Bless boy
 
Mkuu hapa umemalizaa[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Thanks bro..
Mengi au bakheresa au mo dewj hawatakuambia siri hiyo kamwe maana siku wakifanya watakukosa mteja wao!
Kibarua wao
Au watatengeneza competitors

Utaishia kuambiwa theories zizotekelezeka!
 
Thanks bro..
Mengi au bakheresa au mo dewj hawatakuambia siri hiyo kamwe maana siku wakifanya watakukosa mteja wao!
Kibarua wao
Au watatengeneza competitors

Utaishia kuambiwa theories zizotekelezeka!
Humu watu wanajifanya hawajui ushirikina
 
Dah...simply...matumizi yako yasizidi mapato yako [emoji2960]
 
Nimependa ushauri wako mkuu!
 
Hivi vitu havinaga formula sjui mambo ya nidhamu, bidii yote ni bullshit mkuu just be you Fanya kile unachopenda

Sikuwahi fikiria kweny life na mm sku moja nitanunua papuchi Thailand guess what I did
 
Hivi vitu havinaga formula sjui mambo ya nidhamu, bidii yote ni bullshit mkuu just be you Fanya kile unachopenda

Sikuwahi fikiria kweny life na mm sku moja nitanunua papuchi Thailand guess what I did
Yes mkuu..what https://jamii.app/JFUserGuide dd u do?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…