Edo kissy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 2,802
- 7,551
Wiki hili ndo kapamba moto wanafunzi kila siku wanajitokeza na shahada zao🤣🏃♂️dronedrake anazidi kufanya sahili za wanafunzi wapya kila siku.😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wiki hili ndo kapamba moto wanafunzi kila siku wanajitokeza na shahada zao🤣🏃♂️dronedrake anazidi kufanya sahili za wanafunzi wapya kila siku.😃
yaani hapo badoo 🤣Kweli hata mke wangu Leo naenda kumwambia kuwa kwanzia Leo sita fanya nae mapenzi na ikibidi nitaachana nae tulee watoto tu,wanawake wanatupa kiharusi kwa stress ni Bora kuenjoy alone,
Ninaye mkuuKumbe una mke kabisa?
yaani hapo badoo 🤣
Atatafunwa yeye sasa.Nakuapia ndio yatakuwa matokeo...Nipo nasubiriaUkisha rudi kama ulipokuwa na umri wa miaka 15 nini kitafuata?
Labda kama utakuwa unafanya mazoezi kama uko picnicking ila ikiwa ni mazoezi haswa ambapo unatoka hoi kimwili huwezi kuwaza huo upumbavu hata kama kila siku utakuwa unakula chakula sahihi cha asili.Ukila vizuri na kufanya mazoezi automatically mwili utahitaji sex,..kwaiyo ni ngumu kuacha, labda uwe unakula machips na makuku ya kisasa kila siku!!
😃😃 hatari sanaWiki hili ndo kapamba moto wanafunzi kila siku wanajitokeza na shahada zao🤣🏃♂️
Sawa mkuu kila la kheri kwa uamuzi uloufanya.Ninaye mkuu
Anawaongoza kutumia babe care?? Mafuta ya kujipaka watoto yana adimika mtaani sbb yenu.Karibu mkuu. Tupo wa 5 sasa wenye wazo kama hilo dronedrake e ndo kiongozi🤣🤣
Awepo kwenye attendance mkuu usimsahau.😆😃😃 hatari sana
Sijajua kama ni upumbavu, ila mm nikifanya mazoezi na kula vizuri, machine automatically huwa haishikiki hata kama sijawaza kitu wala kuona pichu!!Labda kama utakuwa unafanya mazoezi kama uko picnicking ila ikiwa ni mazoezi haswa ambapo unatoka hoi kimwili huwezi kuwaza huo upumbavu hata kama kila siku utakuwa unakula chakula sahihi cha asili.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣aku hata hatujui hayo mafuta mbona, watuonea tu🏃♂️Anawaongoza kutumia babe care?? Mafuta ya kujipaka watoto yana adimika mtaani sbb yenu.
Mapadri wenzako wameshindwa japo sio watu wa mazoezi.Kuna watu wana ishi hivyo bila wanawake nitajiunga nao kwani mabudha sio watu??
Kwamba hii mvua ndo imzuie 😃😃Labda, ila kafanya maamuzi mda mbaya na mvua hizi 🤣🤣
Anyway ataweza tuu ashaamua🤣🤣
OukayKweli hata mke wangu Leo naenda kumwambia kuwa kwanzia Leo sita fanya nae mapenzi na ikibidi nitaachana nae tulee watoto tu,wanawake wanatupa kiharusi kwa stress ni Bora kuenjoy alone,
Nilifanikiwa zaidi ya miaka mitano "5" bila ya kuendekeza michepuko zaidi ya wife tu na kwa ratiba maalum.Sijajua kama ni upumbavu, ila mm nikifanya mazoezi na kula vizuri, machine automatically huwa haishikiki hata kama sijawaza kitu wala kuona pichu!!
Ninania kweliHuna nia
Mbona hivyo jamani 🤒😃😃🤣🤣Kwisha habari yako