Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
dronedrake anazidi kufanya sahili za wanafunzi wapya kila siku.😃Karibu mkuu. Tupo wa 5 sasa wenye wazo kama hilo dronedrake e ndo kiongozi🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dronedrake anazidi kufanya sahili za wanafunzi wapya kila siku.😃Karibu mkuu. Tupo wa 5 sasa wenye wazo kama hilo dronedrake e ndo kiongozi🤣🤣
Nina nguvu vinzuri mkuu sina shida yeyote,kwani mtu ukiamua kutokufanya mapenzi mbona mnakimbilia kwenye nguvu za kiume??Huwezi kuwa mtu wa mazoezi hata ukifanya tabia mbaya ?
Au kuna kitu unatuficha ???tuambie tu ndugu😅
R.I.P nguvu za kiume
Sawa tushamwambia mkuu.Mwambie "mficha maradhi kifo humuumbua"
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌Hongereni sana wazee. Mimi nipo nawasubiri mademu zenu mtakaoacha niwarithi
Au shida swagger mfundishe bhana..🤣🏃♂️Maana ameshaanza tena kusema changamoto mapisi, asa unadhani nini kinafuata😃😂😂😂
We chakata kwa tathimini yangu toka ni balehe nishatembea na wanawake sio chini ya 98,sasa kipi sijui kwa wanawake??Chakata papuchi wewe acha mawazo ya kijinga.
"The more you use it the stronger it became "
Law of use and disuse
Nakuelewa mkuu,piga mazoezi na kula vyemaaaa yaaan utakuwa kama kijana wa 15 yearNina nguvu vinzuri mkuu sina shida yeyote,kwani mtu ukiamua kutokufanya mapenzi mbona mnakimbilia kwenye nguvu za kiume??
Kwani uzi wangu haujasoma vyema??
Nitapambana sana kuwakwepa na hata ikibidi nitanunua eneo langu huko Bush nianze kuwa mkulima na mfugaji,niwe bushmenMaana ameshaanza tena kusema changamoto mapisi, asa unadhani nini kinafuata😃😂😂😂
Tumsubiri kwanza, akishaishinda hiyo hali hadi ijumaa ameshatoboa hashindwi tena😃😃Au shida swagger mfundishe bhana..🤣🏃♂️
Nakuombea uyashinde majaribu.. kila kitu kinawezekanaNitapambana sana kuwakwepa na hata ikibidi nitanunua eneo langu huko Bush nianze kuwa mkulima na mfugaji,niwe bushmen
Umenikumbusha ule wimbo wa Profesa J na Ferooz kwenye wimbo wao wa Starehe.Nitakuwa fit sitaumwa ovyo ovyo na nitasave pesa zangu,maana nina watoto 2 sasa natafuta kipi tena kwa wanawake zaidi ya presha na kujikuta unamtoa mtoto wa mtu roho,ni Bora kutojihusisha nao kwani ni dhambi kutokufanya mapenzi?? Hiyo ni dhamira yangu
Labda, ila kafanya maamuzi mda mbaya na mvua hizi 🤣🤣Tumsubiri kwanza, akishaishinda hiyo hali hadi ijumaa ameshatoboa hashindwi tena😃😃
Kweli hata mke wangu Leo naenda kumwambia kuwa kwanzia Leo sita fanya nae mapenzi na ikibidi nitaachana nae tulee watoto tu,wanawake wanatupa kiharusi kwa stress ni Bora kuenjoy alone,Tumsubiri kwanza, akishaishinda hiyo hali hadi ijumaa ameshatoboa hashindwi tena😃😃
Labda, ila kafanya maamuzi mda mbaya na mvua hizi 🤣🤣Tumsubiri kwanza, akishaishinda hiyo hali hadi ijumaa ameshatoboa hashindwi tena😃😃
Kuna watu wana ishi hivyo bila wanawake nitajiunga nao kwani mabudha sio watu??Ukila vizuri na kufanya mazoezi automatically mwili utahitaji sex,..kwaiyo ni ngumu kuacha, labda uwe unakula machips na makuku ya kisasa kila siku!!