pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 508
- 788
Wakuu hamjambo??
Niende Moja kwa moja kwenye mada...Mimi nipo Kanda ya ziwa nilikuwa nafanya kazi sehemu kwa bahati nzuri nilijikusanya kwa mshahara wa 400,000 nikafanikiwa kununua pikipiki
Nataka kuacha kazi hii ya ualimu niende Dar kuendesha boda hasa bolt...make naona kama nachelewa kutafuta maisha... mshahara haunitoshi kabisa..
Hivyo wadau mlipo Dar na mnaondesha boda uko Dar baishara hii ipoje...make lengo langu nataka nipate 30,000 kwa mwezi...
Karibuni wadau kwa ushauri...nimechoka kuajiriwa pia nilivyokosa hizi kazi za ualimu za serikali ndo nimekata tamaa kbs
Niende Moja kwa moja kwenye mada...Mimi nipo Kanda ya ziwa nilikuwa nafanya kazi sehemu kwa bahati nzuri nilijikusanya kwa mshahara wa 400,000 nikafanikiwa kununua pikipiki
Nataka kuacha kazi hii ya ualimu niende Dar kuendesha boda hasa bolt...make naona kama nachelewa kutafuta maisha... mshahara haunitoshi kabisa..
Hivyo wadau mlipo Dar na mnaondesha boda uko Dar baishara hii ipoje...make lengo langu nataka nipate 30,000 kwa mwezi...
Karibuni wadau kwa ushauri...nimechoka kuajiriwa pia nilivyokosa hizi kazi za ualimu za serikali ndo nimekata tamaa kbs