Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
508
Reaction score
788
Wakuu hamjambo??

Niende Moja kwa moja kwenye mada...Mimi nipo Kanda ya ziwa nilikuwa nafanya kazi sehemu kwa bahati nzuri nilijikusanya kwa mshahara wa 400,000 nikafanikiwa kununua pikipiki

Nataka kuacha kazi hii ya ualimu niende Dar kuendesha boda hasa bolt...make naona kama nachelewa kutafuta maisha... mshahara haunitoshi kabisa..

Hivyo wadau mlipo Dar na mnaondesha boda uko Dar baishara hii ipoje...make lengo langu nataka nipate 30,000 kwa mwezi...

Karibuni wadau kwa ushauri...nimechoka kuajiriwa pia nilivyokosa hizi kazi za ualimu za serikali ndo nimekata tamaa kbs
 
Wakuu hamjambo??
Niende Moja kwa moja kwenye mada...Mimi nipo Kanda ya ziwa nilikuwa nafanya kazi sehem kwa bahati nzuri nilijikusanya kwa mshahara wa 400,000 nikafanikiwa kununua pikpik

Nataka kuacha kazi hii ya ualimu niende dar kuendesha boda hasa bolt...make naona kama nachelewa kutafta maisha... mashahara haunitoshi kabisa...

Hivyo wadau mlipo dar na mnaondesha boda uko dar baishara hii ipoje...make lengo langu nataka nipate 30,000 kwa mwezi...
Karibuni wadau kwa ushauri...nimechoka kuajiriwa pia nilivyokosa hizi kazi za ualimu za serikali ndo nimekata tamaa kbs
30,000 kwa mwezi ? Hii hela unafanya nayo nini ?
 
Dah nakwosa Ata cha kukushauri anyways ujue kuna gharama ya kiingilo cha kijiwe
👉Ni 200k + hadi milion moja kulingana na eneo la egesho

👉Upange, nyumba bei kuanzia 30k-60j huko buguruni, magomeni, manzese
Kimara 40k - 60k
👉Bill za maji si chini ya 5k-20k kutegemea na nyumba
👉Umeme si chini ya 10k-15k kwa mwezi kulingana na nyumba

Mengine utajikadiria bajeti ya maji ni 1400x30siku =42000 kwa maji special chupa mbili za Lita moja na nusu
Maji ya kandoro ni 400 x30siku=12000 chupa mbili

Utaamua Sasa wewe Kula si chini ya 140k kwa mwezi kama utatumia 5000 Kila siku
 
Dah nakwosa Ata cha kukushauri anyways ujue kuna gharama ya kiingilo cha kijiwe
👉Ni 200k + hadi milion moja kulingana na eneo la egesho

👉Upange, nyumba bei kuanzia 30k-60j huko buguruni, magomeni, manzese
Kimara 40k - 60k
👉Bill za maji si chini ya 5k-20k kutegemea na nyumba
👉Umeme si chini ya 10k-15k kwa mwezi kulingana na nyumba

Mengine utajikadiria bajeti ya maji ni 1400x30siku =42000 kwa maji special chupa mbili za Lita moja na nusu
Maji ya kandoro ni 400 x30siku=12000 chupa mbili

Utaamua Sasa wewe Kula si chini ya 140k kwa mwezi kama utatumia 5000 Kila siku
Kashajipanga uyo tayari ila Kuna sehemu maegesho bei 🙌🏾
 
Dah nakwosa Ata cha kukushauri anyways ujue kuna gharama ya kiingilo cha kijiwe
👉Ni 200k + hadi milion moja kulingana na eneo la egesho

👉Upange, nyumba bei kuanzia 30k-60j huko buguruni, magomeni, manzese
Kimara 40k - 60k
👉Bill za maji si chini ya 5k-20k kutegemea na nyumba
👉Umeme si chini ya 10k-15k kwa mwezi kulingana na nyumba

Mengine utajikadiria bajeti ya maji ni 1400x30siku =42000 kwa maji special chupa mbili za Lita moja na nusu
Maji ya kandoro ni 400 x30siku=12000 chupa mbili

Utaamua Sasa wewe Kila si chini ya 140k kwa mwezi kama utatumia 5000 Kila siku
Ukiweza kopa saccos zenu uwe na hata 5m ununue piki oiki 2.....moja yako ...au anza na moja weeee izae ingine. Umpe kijana....ukiwa na mke baada miezi 6 mfungulie duka genge....sehemu ulipo kimara ay kinyerezi etc....utafute kiwanha nje mji hukooo kibamba ndani huko ....jenga vyumba 2 uwe kwako baasa mwaka.....fikiria baada miaka 5 ubadiki kabisa biashara....maana riski sana hiyo biashara over time....umri pia
 
Dah nakwosa Ata cha kukushauri anyways ujue kuna gharama ya kiingilo cha kijiwe
👉Ni 200k + hadi milion moja kulingana na eneo la egesho

👉Upange, nyumba bei kuanzia 30k-60j huko buguruni, magomeni, manzese
Kimara 40k - 60k
👉Bill za maji si chini ya 5k-20k kutegemea na nyumba
👉Umeme si chini ya 10k-15k kwa mwezi kulingana na nyumba

Mengine utajikadiria bajeti ya maji ni 1400x30siku =42000 kwa maji special chupa mbili za Lita moja na nusu
Maji ya kandoro ni 400 x30siku=12000 chupa mbili

Utaamua Sasa wewe Kula si chini ya 140k kwa mwezi kama utatumia 5000 Kila siku
Mimi naenda kutegemea bolt sio vijiwe
 
Eh bolt ndo commission uliyojiwekea au ndo Wanapata ivyo naona ushafatilia mshahara wa bolt 😹 na ili jua lazima uive kama ku
Eh bolt ndo commission uliyojiwekea au ndo Wanapata ivyo naona ushafatilia mshahara wa bolt 😹 na ili jua lazima uive kama kuku
Nasikia ukiwa na bolt hiyo 30000 kwa siku unaipata chapu
 
Back
Top Bottom