Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

Dar ma learner ni wengi kuliko madereva walioiva ujitahidi kuwa makini wasije kukutawanyisha kama umepigwa na rpg
Alafu kweli dogolasi anavizia nimelala anachukua mpira anaenda sijui wapi wakati najua lesseni yake ya juzi tu alafu anarud anapaki vile vile majirani masnitch ndio wananiambia me najifanya sijui ngoja aibutue siku ndio atajua kumbe nlikuwa najua, Malena wengi sana
 
Dah nakwosa Ata cha kukushauri anyways ujue kuna gharama ya kiingilo cha kijiwe
👉Ni 200k + hadi milion moja kulingana na eneo la egesho

👉Upange, nyumba bei kuanzia 30k-60j huko buguruni, magomeni, manzese
Kimara 40k - 60k
👉Bill za maji si chini ya 5k-20k kutegemea na nyumba
👉Umeme si chini ya 10k-15k kwa mwezi kulingana na nyumba

Mengine utajikadiria bajeti ya maji ni 1400x30siku =42000 kwa maji special chupa mbili za Lita moja na nusu
Maji ya kandoro ni 400 x30siku=12000 chupa mbili

Utaamua Sasa wewe Kula si chini ya 140k kwa mwezi kama utatumia 5000 Kila siku
Unapapenda buguruni 🤣
 
Hahaha 🤣
Baba wewe lazima upataje buguruni Kila unapoiongelea dar

Kwani gongo la mboto hawezi kwenda kuishi? Asile awe anafunga
Sipapendi huko mzee, marafiki zangu wote walioko gongo la mboto Kila mara wanalia, shida shida tu, alafu huko mtu huwezi hamasika kukua kimaisha, bora buguruni panavonuka unaweza Pata hasira ya kuhama😂chapu chapu
 
Hahaha 🤣
Baba wewe lazima upataje buguruni Kila unapoiongelea dar

Kwani gongo la mboto hawezi kwenda kuishi? Asile awe anafunga
Sehemu inaitwa buguruni malapa😂na kweli watu wake wapo tayari wapige anza Kanon, mpaka mwananchi na malapa, ili wasevu Mia 600 ya nauli, alafu wauza mito kama wote
 
Sehemu inaitwa buguruni malapa😂na kweli watu wake wapo tayari wapige anza Kanon, mpaka mwananchi na malapa, ili wasevu Mia 600 ya nauli, alafu wauza mito kama wote
Ni noma sanaaaa mkuuu 😂
 
Wakuu hamjambo??

Niende Moja kwa moja kwenye mada...Mimi nipo Kanda ya ziwa nilikuwa nafanya kazi sehemu kwa bahati nzuri nilijikusanya kwa mshahara wa 400,000 nikafanikiwa kununua pikipiki

Nataka kuacha kazi hii ya ualimu niende Dar kuendesha boda hasa bolt...make naona kama nachelewa kutafuta maisha... mshahara haunitoshi kabisa..

Hivyo wadau mlipo Dar na mnaondesha boda uko Dar baishara hii ipoje...make lengo langu nataka nipate 30,000 kwa mwezi...

Karibuni wadau kwa ushauri...nimechoka kuajiriwa pia nilivyokosa hizi kazi za ualimu za serikali ndo nimekata tamaa kbs
au basi tu..
Ngja nikutonye....
  • kama uliweza kununua pikipik ya 3mil kupitia mshahara. Bas jichange tena ufungue mrad/duka/kilimo/ufugaji ajiri. hko utapata pexa na kaz yako ukiendlea.
  • Dar joto mpka mfukon ndugu, japo boda wanapga pexa sema ukienda kule utabak na kaz moja
 
Kwa dar pesa ipo ila pia wanyang'anyi ni wengi.(namaanisha dada poa)
Sasa ww njoo na ushamba wako wa kisukuma uone wanawake weupe ukashoboka.
Wanakufungia ndani,wanakukamua mkwanja woote na nguo zako zinafuliwa hutoki ndani.
Anakuja kijana mmoja unatambulishwa ni shem wako unampa chombo ameagizwa na dada yake weee siku 3 haonekani na kila ukiuliza unapewa papuchi sasa siku ya siku wewee unapigiwa makelele ya mpenzi king'ang'anizi ndo utalijua jiji
 
Back
Top Bottom